الإمام ناصر محمد اليماني
17 - جمادى الأولى - 1439 هـ
03 - 02 - 2018 مـ
11:08 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=33867
___________

Ukumbusho na mawaidha kutoka kwa Al’Mahdi Al’Muntadhar kwa viongozi wa Waislamu arabu
wao na maajami wao na baki ya wote wa viongozi wa wanadamu

Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Swala Na Sala Ju Muhammad Alio khitimisha Mitume Wa Allah kwa waja na waislamu wote na enye wapendwa wangu makurdi sio nyinyi pekeyenu mumedhulumiwa; Bali imejawa ma ardhi ya waislamu unyanyasaji na udhalimu kutokana na viuongzi ma’dhalimu kwa nafsi zao na ma taifa yao, Ispokua tunawapa nguvu kwa wale tunao taka miongoni mwao kwa kauli laini na tunamsifu kwamba ni mzuri huwenda ukawa mzuri moyo wake, Na tunawapa mkono kila mwenye uchungu ju ya uwislamu na waislamu na zile sehmu takatifu za Mola Mlezi Wa ulimwengu kama mfano wa Rajab tayib Ardoghan ambae ali’itisha kufanyike mkutano wa hali ya juu kwa haraka ndani ya uturuki kwajili yakuchukua hatua kwajili ya Masjid Al’Aqsa, Basi vipi tusimpe mkono kwajili ya kulinda Msikiti Wa Alaqsa na maeno pembezoni mwake na kupatia nguvu viongozi wa Waislamu warabu wao na maajemi wao? Na Pamoja ya vitendo vake Rajab Tayib ambazo hazimridhishi Allah lakini yeye anakanusha uwingi wa ma hizbu na taifia, Basi huwenda Allah Akatahirisha moyo wake kwa Nur Ya Bayana Ya Haki Ya Al’Quran ndio tunamwambia kauli laini huwenda akakumbuka ama akamogopa Mola Mlezi Wake ndio amsadikishe Allah basi Atamsadiki.

Na jina lake ni Rajab Tayib, Ama huo uzuri kwa haki basi sijapata mpaka sasa Mwanamume Mzuri moyo wake inje ndani katika viongozi wa Waislamu; Ambae imekua mzuri moyo wake na akafwata mlinganizi wa haki kwa kuhukumu kwa kitabu cha Mola Mlezi wake na kukifwata, Na kila moja anaimba kwajili ya leila, Na wote wanachunga viti vao va enzi, Na wanamini na mbinu za Allah Mfalme Wa Mulki anampa Ufalme amtakae na anampokunya ufalme amtakae na wataenda kujua ikiwa hawatotubu kwa Mola wao Mlezi, Basi wakitubu kwa Mola Mlezi wao basi imekua haki juu ya Allah awazidishe iza juu ya iza yao na nguvu juu ya nguvu yao kama mfano ya mawaidha ya Nabi wa Allah Hud kwa kaumu yake ambao ni wenye nguvu zaidi kwenye ardhi katika zama zao. Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3la:
{وَيَا قَوْمِ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ ثُمَّ تُوبُوا إِلَيْهِ يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا وَيَزِدْكُمْ قُوَّةً إِلَىٰ قُوَّتِكُمْ وَلَا تَتَوَلَّوْا مُجْرِمِينَ ﴿٥٢﴾} صدق الله العظيم [هود].
Allah Ta3ala Asema:{ Na enyi watu wangu! Muombeni msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakuleteeni mbingu zenye kunyesha mvua ya kumiminika, na atakuzidishieni nguvu juu ya nguvu zenu. Wala msigeuke mkawa wakosefu(52)} Sadaqa Allah Al3adhim [Hud].
Wakakufuru Kwa Wadi wa Allah kwenye Muhakama ilio wazi mana yake Kitabu:


{وَإِذْ تَأَذَّنَ رَبُّكُمْ لَئِن شَكَرْتُمْ لَأَزِيدَنَّكُمْ ۖ وَلَئِن كَفَرْتُمْ إِنَّ عَذَابِي لَشَدِيدٌ ﴿٧﴾} صدق الله العظيم [إبراهيم]

Allah Ta3ala Asema:
{Na alipo tangaza Mola wenu Mlezi: Mkishukuru nitakuzidishieni; na mkikufuru, basi adhabu yangu ni kali(7)} Sadaqa Allah Al3adhim [Ibrahim],

Mpaka pindi wanapo kata na wakakanusha kwa mlinganizi wa haki kutoka kwa Mola Mlezi wao Ana’wangamiza Allah wala hawakupata kwao pasi na Allah Rafiki wala mwenye kuwanusuru, Basi hivo ndio sunna ya Allah katika Kitabu juu ya wakanushaji kuhusu Kitabu katika ma umma, Na Wala hutopata katika Sunna Ya Allah kubadilsha, Na wala hutopata katika Sunna Ya Allah kugeuka.
Basi mcheni Allah enyi wenye akili Wakubwa wenu na Wafwasi wenu, Wala haikua kwa Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani kwamba atafwata matamanio yenu ili muridhike; Bali mfataji wa Kitabu Cha Mola Mlezi Wangu Al’Quran Al3adhim Na Sunna za Haki zile ambazo hazikhalifu muhakam ilio wazi mana yake Kitabu Cha Allah na kwa hio ndio nawalingania ikiwa nyinyi waumini, Na mukikata; Aleyisa Allah bi Ahkam Alhakimin? Na mutaenda kujua nani atakae enzishwa na Allah na nani atakae dhalilishwa na Allah na ampokonye kwake ufalme wake katika ma taifa zote za waislamu na ulimwengu, Na mutaenda kujua Hakika Mimi ni Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Khalifa Wa Allah Katika Ardhi, Na Lakini naogopa kwambaa musikiri na kutambua haki kutoka kwa Mola Mlezi wenu ila baada anapo angamiza Allah anae mtaka miongoni mwenu na awadhibu anae mtaka miongoni mwenu adhabu chungu alafu baada ya hapo ndio zinyenyeke shingo zenu kwa Khalifa wa Allah kwenu na nyinyi hali ni wanyonge,
Na salam Juu ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..

Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.

خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
_______________

اقتباس المشاركة 280667 من موضوع تذكرةٌ وموعظةٌ من المهديّ المنتظَر لزعماء المسلمين عربيّهم وعجميّهم وكافة قادات البشر ..



الإمام ناصر محمد اليماني
17 - جمادى الأولى - 1439 هـ
03 - 02 - 2018 مـ
11:08 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركـة الأصليّة للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=280662
__________



تذكرةٌ وموعظةٌ من المهديّ المنتظَر لزعماء المسلمين عربيّهم وعجميّهم وكافة قادات البشر ..


بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على محمدٍ خاتم رسل الله للعباد وجميع المسلمين..
ويا أحبتي الأكراد لستم وحدكم مظلومين؛ بل مُلئت أراضي المسلمين جوراً وظلماً من الحكام الظالمين لأنفسهم وشعوبهم، وإنّما نشجع من نشاء منهم بالقول اللين ونصفه بالطيب لعله يطيب قلبه، ونشجع كل من كان لديه غيرة على الإسلام والمسلمين ومقدّسات ربّ العالمين كمثل رجب طيب أردوغان الذي دعا إلى عقد قمةٍ عاجلةٍ في تركيا من أجل اتّخاذ موقفٍ من أجل المسجد الأقصى، فكيف لا نشجعه على الدفاع عن المسجد الأقصى وما حوله ونشجع القادة المسلمين العرب والعجم؟ فبرغم تصرفات رجب طيب التي لا ترضي الله ولكنه ينفي تعدد الأحزاب الطائفيّة، فلعلّ الله يطهر قلبه بنور البيان الحقّ للقرآن فنقول له قولاً ليناً لعلّه يتذكّر أو يخشى ربّه فيصدق الله فيصدقه.

واسمه رجب طيب، وأما الطيبة بالحقّ فلم أجد إلى حدّ الآن رجلاً طيباً قلباً وقالباً من حكام المسلمين؛ طاب قلبُه واتّبع الداعي الحقّ إلى الاحتكام إلى كتاب ربه واتّباعه، وكلٌّ يغني على ليلاه، وكلٌّ حريصٌ على كرسي عرشه، ويأمنون مكر الله مالك الملك يؤتي الملك من يشاء وينزع الملك ممن يشاء ولسوف يعلمون إذا لم يتوبوا إلى ربهم، فإذا تابوا إلى ربهم كان حقاً على الله أن يزيدهم عزّاً إلى عزّهم وقوةً إلى قوتهم كمثل موعظة نبيّ الله هود لقومه الأشدّ قوةً في الأرض في عصرهم. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَيَا قَوْمِ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ ثُمَّ تُوبُوا إِلَيْهِ يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًا وَيَزِدْكُمْ قُوَّةً إِلَىٰ قُوَّتِكُمْ وَلَا تَتَوَلَّوْا مُجْرِمِينَ ﴿٥٢} صدق الله العظيم [هود].

وكفروا بوعد الله في محكم كتابه:
{وَإِذْ تَأَذَّنَ رَبُّكُمْ لَئِن شَكَرْتُمْ لَأَزِيدَنَّكُمْ ۖ وَلَئِن كَفَرْتُمْ إِنَّ عَذَابِي لَشَدِيدٌ ﴿٧} صدق الله العظيم [إبراهيم]، حتى إذا أبوا وأعرضوا عن داعي الحقّ من ربهم أهلكهم الله ولم يجدوا لهم من دون الله وليّاً ولا نصيراً، فتلك سنّة الله في الكتاب على المعرضين عن الكتاب في الأمم، ولن تجد لسُنّة الله تبديلاً، ولن تجد لسُنّة الله تحويلاً.

فاتقوا الله يا أولي الألباب كبراؤكم وأتباعكم، وما كان للإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أن يتّبع أهواءكم لترضوا؛ بل متبعُ كتاب ربي القرآن العظيم والسنّة الحقّ التي لا تخالف لمحكم كتاب الله ولذلك أدعوكم إن كنتم مؤمنين، وإن أبيتم؛ أليس الله بأحكم الحاكمين؟ ولسوف تعلمون من يعزّه الله ومن يذلّه الله وينزع منه ملكه في كلّ بلاد المسلمين والعالمين، ولسوف تعلمون أني الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني خليفة الله في الأرض، ولكن أخشى أن لا تقرّوا وتعترفوا بالحقّ من ربّكم إلا بعد أن يهلك الله من يشاء منكم ويعذّب من يشاء منكم عذاباً نُكراً فمن ثم تخضع أعناقكم لخليفة الله عليكم وأنتم صاغرون. وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..


خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
_______________


اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..