???Jee swala ya kati ni ipii
سؤال من المهدي المنتظر إلى كافة الأنصار
Suali kutoka kwa Almhadi Almuntadhar kwa ma Alanssar wote

بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
{سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ، وَسَلَامٌ عَلَى الْمُرْسَلِينَ، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ}
[الصافات:180-182]

قال الله تعالى:
{حَافِظُوا عَلَى الصَّلَوَاتِ وَالصَّلَاةِ الْوُسْطَىٰ وَقُومُوا لِلَّهِ قَانِتِينَ ﴿٢٣٨﴾}
صدق الله العظيم, [البقرة]
Amesema Allah Ta3ala:[{( muhifadhi swala na swala ya kati na musmame kwajili ya Allah qanitin)(23)}]albaqara:

Enye ma Alanssar walotangulia walio bora lawu akiwauliza Almahdi Almuntadhar suali na tukasema kwenu basi hivi
Ni kiyasi gani urefu wa siku kulingana na hisanbu ya saa zenu zile zilioko mikononi mwenu? mungenijibu nyote na waislamu wote na mwanachuoni wenu na majahili wenu kwa pamoja na wangesema kuwa hakika ya siku moja inatoka masa shirini na nne 24 saa

Na kutoka hapo anawpa suali lingine Almahdi Almuntadhar,na wakati gani mumipata ina anza siku katika kitabu cha Allah? wangesema wale wanao ilmu katika nyinyi,amisema Allah Ta3ala:
{أُحِلَّ لَكُمْ لَيْلَةَ الصِّيَامِ الرَّفَثُ إِلَىٰ نِسَائِكُمْ ۚ هُنَّ لِبَاسٌ لَّكُمْ وَأَنتُمْ لِبَاسٌ لَّهُنَّ ۗ عَلِمَ اللَّهُ أَنَّكُمْ كُنتُمْ تَخْتَانُونَ أَنفُسَكُمْ فَتَابَ عَلَيْكُمْ وَعَفَا عَنكُمْ ۖ فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّهُ لَكُمْ ۚ وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِ ۖ ثُمَّ أَتِمُّوا الصِّيَامَ إِلَى اللَّيْلِ}
صدق الله العظيم, [البقرة:187]
[{( imihalalishwa kwenu usiku wa saumu(alrfthu)kuwaingilia wake zenu wao ni vazi lenu na nyinyi ni vazi lao anajuwa Allah mulikuwa mwa khini nafsi zenu akwatubia na akawasamehe basi sasa waingilieni na mutake yale yalio Allah alowandikia na kuleni na munwe mpaka ibainike uzi mweupe kutokana na mweusi kutokana na Alfajiri Alafu mtatimize saumu mpaka usiku)}]sadaqa Allah Ala3dhim,Albaqara:187]

Ndipo amitufundisha kulingana na hi aya kuwa siku ina anza juwa likizama kuingia usiku wa saumu mpaka inamalizika kuzama tena juwa,alafu nitasema mumisema kweli Allah Awabariki, kwahio swalaa ya kwanza katika kitab ni magharibi na sawala ya mwisho ni swala ya Alasri,njoni tuangalie ipi kati ya swala ni swala ya kati ?...

(Magharib 3isha fajri dhuri Asri)
(المغرب العشاء الفجر الظُهر العصر)
{حَافِظُوا عَلَى الصَّلَوَاتِ وَالصَّلَاةِ الْوُسْطَىٰ وَقُومُوا لِلَّهِ قَانِتِينَ ﴿٢٣٨﴾}
صدق الله العظيم, [البقرة
Amesema Allah ta3ala:[{( muhifadhi swala na swala ya kati na musmame kwajili ya Allah qanitin)(23)}]albaqara:

Inanza siku kuzama juwa na swala ya Kati ni Alfajri ..

سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ، وَسَلَامٌ عَلَى الْمُرْسَلِينَ، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ..
Amitukuka mola wako mwenye izza kwa yle wanao ya sifu na salmu ju ya mitume,Alhamdulillah rabi Al3alamin ..

Ndugu yenu Alimam Nasser muhammad Alyamani
أخوكم الإمام ناصر مُحمد اليماني