Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
18 – جمادى الآخرة - 1438 هـ
17 – 03 – 2017 مـ
08:09 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
( Kulingana Na Kalenda Rasmi Ya Mama Wa Vijiji)
______

بسم الله الواحدُ القهار قد أعذر من أنذر ونزيدكم بالبيان المُصْفَرِّ بالحقّ عن الريح المُصْفَرِّ إذا اشتدت أهلكت ..

Bismillah Al'Wahid Al'Qahar Ame'Udhurika Mwenye Kuonya Na Tunawazidishia Kwa Bayana Ya (Almus'faarrn) Rangi Manjano Kwa Haki Kuhusu Ki'mbunga Cha Manjano (Almusafar) Pindi Ikizidi Ku'Shtadi Basi Ina'Angamiza..

Amesema Allah Ta3ala:
{وَلَئِنْ أَرْسَلْنَا رِيحًا فَرَأَوْهُ مُصْفَرًّا لَّظَلُّوا مِن بَعْدِهِ يَكْفُرُونَ (51) فَإِنَّكَ لَا تُسْمِعُ الْمَوْتَىٰ وَلَا تُسْمِعُ الصُّمَّ الدُّعَاءَ إِذَا وَلَّوْا مُدْبِرِينَ (52) وَمَا أَنتَ بِهَادِ الْعُمْيِ عَن ضَلَالَتِهِمْ ۖ إِن تُسْمِعُ إِلَّا مَن يُؤْمِنُ بِآيَاتِنَا فَهُم مُّسْلِمُونَ (53)} [الروم].
Allah Ta3ala Asema:
{Na tunge utuma upepo na wakauona umekuwa rangi ya manjano, juu ya hayo wange endelea kukufuru (51) Kwani wewe hakika huwafanyi maiti wakasikia, wala viziwi wakasikia wito wakisha geuka kukupa mgongo (52) Wala wewe huwaongoi vipofu na upotovu wao. Huwasikilizishi ila wanao ziamini Aya zetu. Hao ndio Waislamu, walio nyenyekea (53)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alrum].
Na Akasema Allah Ta3ala
{فَإِنْ أَعْرَضُ وا فَقُلْ أَنذَرْتُكُمْ صَاعِقَةً مِّثْلَ صَاعِقَةِ عَادٍ وَثَمُودَ (13)}
صدق الله العظيم [فصلت].
Na Akasema Allah T3ala:{Basi wakipuuza wewe sema: Nakuhadharisheni adhabu mfano wa adhabu ya A'di na Thamudi(13)}
Sadaqa Allah Al3adhim [Fusilat].

Lakini Kwa maskitiko kua ule upepo Ambao ni ( Al'Sarsar ) Na Manjano Ambao Imezidi Manjano Yake Kwa Mchanga Wa Jangwa Ambao Umeuzidi Mwingi Pindi Zikija Haitowafanya Waislamu Na Makafiri Kwao Ukumbush Wakapotea Ba'Ada Ya Hapo Wanakufuru Na Kama Kwamba Hakuna Kitu Kilikua! Na Jee Munataka Azidishe Allah Zaidi Na Zaidi ili iwe ni katika ishara ya kusadikisha Al'Mahdi Al'Muntadhar Ndio Iwakokowe Watu Kana Kwamba Migogo Ya Mitende Yalio Ngolewa Pindi Ikifika Mbio Ya Upepo Nambari Ya Upepo Wa Akim Ambao Inao Angamiza inawatowa Watu Kuwatowa basi iwarushe Wao Kuwarusha Basi ifwate in Sha Allah mfano wa kimbunga Cha Thamud?

Ewe Allah Ijalie kijisayari Cha Adhabu Juu Ya Makafiri Ambao Wale Unaona Kua Wanastahili kwa Adhabu Hio Kuliko Waislamu kwa Rahma Yako Ewe Mwenye Huruma Kuliko Wenye Huruma Wote, Allahuma Hakika Wewe Unajuwa Yupi Kafiri Ni zaidi Kwa Al'Rahman Kuasi Wale Ambao Wanataka Kuzima Nuur Ya Allah Ba'Ada Kubainika Kua Hi Ni Haki Basi Nyuso Zao Zikaona vibaya Kwakua Kwa Haki Ni Wenye Kuchukia Kwajili Ya Hivo Nyuso Zao Zimiona Vibaya. Allahuma Wao Ndio Awula Kwa Adhabu Ya Kijisayari Cha Adhabu Na Ni Awula Kwa Sayari Ya Adhabu Kuu Katika Dunia Na Katika Akhera; Hawo Ndio Mashetani Watu Wa Shari Zaidi Katika Viumbe Ni Ma'Aduwi Wakuu Wa Allah Na Mtume Wake Na Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Na Ma Anssar Wake Viumbe Bora, Allahuma Waokowe Umma Wa Kati Kutokana Na Adhabu Ya Kiji Sayari Cha Adhabu Na Kutokana Na Sayari Ya Adhabu Kuu Kwa Haki Ya Laillaha ila Anta Na Kwa Haki Ya Rahma Yako Ambao Umiandika Juu Ya Nafsi Yako Na Kwa Haki Adhim Ya Naeem Ridhwan Nafsi Yako, Hakika Wewe Kwa Kila Kitu Una Weza Na Kwa Hio Kwako Ni Lazima Kua, Unafuta Watakayo Katika Misiba Kwenye Kitabu Na aunakitisha Kwa Rahma Yako Ya Arhma Al'Rahimina, Na Uwokowe Waislamu Wote Katika Mashariki Ya Ardhi Na Magharibi Yake Katika Kila Pahala Katika Ulimwengu Hakika Wewe Kwa Kila Kitu Ni Kadir Na Kwa Hayo Ni Lazima Ewe Arhama Alrahimin, Allahuma Hakika Wewe Mwenye Kujua Mwenye Habari Na Mwenye Huruma Mwenye Kughufiria, Ewe Allah Waongoze Wote Makafiri Wale Ambao Lau itabainika Kwao kua Hi Ni Haki Kutoka Mola Wao Mlezi Wangeifwata Kwa Rahma Yako Haiwachukuwi Utukufu Wa Dhambi Hakika Wewe Kwao unajua Basi Wahidishe Kwenye Njia ilio Nyoka Hakika Wewe Ni Ghafur Mwenye Huruma, Ewe Al'Hai Ewe Al'Qyum Ewe Ambae Haimchukuwi Kufumba Jicho Wala Kulala Ewe Mola Mlezi Hakika Wewe Unajua Kwa Kauli Ya Yule Ilio Teremshwa Kwake Ukumbusho Muhammad- Sala Allahu Aleyhi Wa Usalim Tasliman- Kwa Kaumu Yake Makafiri:
{وَقَالَ الرَّسُولُ يَا رَبِّ إِنَّ قَوْمِي اتَّخَذُوا هَٰذَا الْقُرْآنَ مَهْجُورًا (30)} [الفرقان]
Allah Ta3ala Asema:
{Na Akasema Mtume Ewe Mola Mlezi Hakika Kaumu Yangu Wamefanya Hi Al'Quraan Ni Yenye Kuhamwa (30)} [Alfurqan] Na Kadhalika Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Nasema: Ewe Mola Wangu Mlezi Hakika Kaumu Yangu Warabu Na Waislamu Kadhalika Wameifanya Hi Al'Quraan Yenye Kuhamwa kutokana Na Kutadabar Na Kutafakari Katika Bayana Ya Haki Ya Ukumbusho Katika Zama Za Mazungumzo Kabla Ya Kudhihiri, Allahuma Waghufirie wao Hakika Wao Hawajuwi Kua Mimi Ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Wa Haki Kutoka Mola Wao Mlezi, Basi Kiyasi Gani Nimiwalingania Kwa Kuhukumu Kwenye Ukumbusho Al'Quraan Al'3adhim Usiku Na Mchana Na Nimitangaza Kwao Na Nikanagana Kunagana Haikuwazidi Ulinganizi Wa Haki Kutoka Mola Wao Mlezi Ispokuwa Kuzidi Kutoroka Na Wakangania Wakawa Na Kiburi Kikuu, Allahuma Ikiwa Hivo Ni Kwa Sababu Ujahili Wao Na Upofu Wa Basira Yao Kwa Sababu Kutotumia Akili Kua Ni Haki Kutoka Mola Wao Mlezi Basi Wewe Ni Mwenye Huruma Zaidi Kuliko Mja Wako Na Waadi Wako Ni Haki Na Wewe Ni Arhama Alrahimin, Allahuma Basi Waoneshe Haki Kutoka Kwako Na Ufunguwe Pazia Iliostirika Ili kuona Bayana Ya Haki ya Ukumbusho Katika Zama Za Mazungumzo Kabla Kudhihiri Na Wewe Una Huruma Zaidi Kwa Waja Wako Kuliko Mja Wako Na Waadi Wako Ni Haki Na Wewe Ni Mwenye Huruma Zaidi Kuliko Wenye Huruma, Na Ama Wale Nyuso Zao Waliona Vibaya Bada Kubainika Kwao Kuwa Hi Ni Haki Kutoka Mola Wao Mlezi basi Wao Kwa Haki Ni Wenye Kuchukia Hawo Hawto'Ongoka Kabisa Sawa Juu Yao Umiwaonya Ama Hukuwaonya Hawamini Kwa'Kua Wao Kwa Haki Ni Wenye Kuchukia; Wale Wamechukia Ridhwan Allah Na Wanafwata Kinacho Mghadhibisha Basi Akangusha Vitendo Vao, Allahuma Juu Yako Wao, Allahuma Basi Wangamize Idadi Yao Wala Usiwache Yoyote Kati Yao Kwa Haki Ya La Ilaha Ila Anta Na Kwa Haki Ya Rahma Yako Ulio Andika Kwa Nafsi Yako Na Kwa Haki Ya Adhim Naeem Ridhwan Nafsi Yako Ambao Wao Nayo Wanaichukia, Allahuma Hakika Wewe Unajuwa Kua Wawo wamifanya Uwaduwi Juu Ya Umma Wa Kati, Wanataka Kuangamiza Na Kubomoa Ma'Taifa Ya Kiarabu Wala Sio Kuikumboa Wanataka Kama Wanavo Dai, Na Lana Ya Allah Juu Ya Warongo Wale Ambao Wanafanya Ufisadi Katika Ardhi Uwaduwi Na Dhulma Bila kupotea Kwao Na Alafu Wanasema:" Ispokua Sisi Ni Wenye Kurekibisha Kwa Hoja Ya Vita Dhidi Ya Ugaidi"; Alama Ya Urongo! Bali Wanataka Kuangamiza Na Kubomoa Nyumba Za Waislamu Juu Ya Vichwa Vao Alafu Wanadai Wamekuja Kuwakomboa, Basi Iko Wapi Ukombozi Kutokana Na Kubomoa? Na Tafauti Kubwa! Na Wallah Yule Ambae Hapana Mola Pasi Na Yeye Kua Wamekuja Kubomoa Waislamu Wala Sio Kuwakomboa Na Vipi Watabomoa Kwa Ndege Zao Na Rokiti Zao miji Ya Waislamu Kubomoa Juu Ya Vichwa Va Watu Ndani Yake Alafu Wanasema imitimu Kuikomboa Kutokana Kwa Ugaidi; Alama Ya Urongo ! Na Lana Ya Allah Juu Ya Taramp Na Putin Viumbe Viku Va Shari; Bali imitimu Kuibomoa Juu Ya Sakafu Zake Ikapambazukiwa Zimibomoka Kwenye Masakafu Zake Juu Ya Vichwa Va Watu Wake Kwa Kukusudia Kutoka Vladmir putini Na Donald Taramp Viumbe Va Shari Wakuu.

Basi Mcheni Allah Enyi Wenye Akili Hivi Hamuoni Nini Wanacho Fanya Madhalimu Kama Wanavo Fanya Huko Suria Na Iraq Na Libya? Allahuma Hakika Mimi Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Namshuhudisha Allah Alaliyu Al'Qadir Kua Wamekuja Mashetani Watu ili kubomoa Waislamu Wala Sio Kuwakomboa, Hakika Wewe Ndio Mwenye Kujuwa Mwenye Ujuzi Kua Wao Wanamdanganya Allah Na Wale Walio Amini, Allahuma Wewe Ndio Mola Neema Ya Mola Na Neema Ya Mwenye Kunusuru, Allahuma Mimi Ni Mja Wako Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Si'Ombi ispokuwa Juu Ya Mashetani Watu, Allahuma Wewe Kwa Mbinu Zao juu Yao Kwa Siri Na Jahiri, Allahuma Sisi Twakuwacha Kwenye Shingo Zao Kwa UweZo Wako Na Twajilinda Kwako Kutokana Na Shari Zao Kwa Rahma Yako Ewe Mwingi Wa Rahma Hakika Wewe Ndio Mola Neema Almawula Na Neema Mwenye Kunusuru Unajuwa Ukhaini Wa Macho Na Kinacho Ficha Vifuwa.

Allahuma Hakika Wewe Unashuhudia Kua Mimi Ni Mja Wako Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Na Unashuhudia Kua Wewe Ndio Ulio Nichagua Na Wala Sikujichagua Nafsi Yangu Kwa Nafsi Yangu Na Wala Hakuna Yoyote Pasi Na Wewe Kwnye Hili Jambo Kitu Chochote Katika Kuchagua Khalifa Wako Katika Ardhi, Umetukuka Mola Wangu Mlezi Unaumba Unacho Taka Na Unachagua Na Wala Hawana Khiari Katika Kuchagua Khalifa Wako Pasi Na Wewe, Umitukuka Mola Wangu Mlezi Utukufu Wa Juu Kwa Yale Wanao Kushirikisha 3uluwan Kabiran! Allahuma Ikiwa Wajua Kama Mja Wako Nasser Muhammad Al'Yamani Amezua Shakhsia Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Urongo Na Kuzawiri Allahuma Basi Wajalie Kwa Mashetani Watu Na Ma Wali Wao Juu Ya Nasser Muhammad Al'Yamani Utawala Kutoka Kwako, Allahuma Ikiwa Unajua Kua Wewe Ndio Ulio Ni Chagua Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Allahuma Basi Mjalie Mja Wako Utawala Ewe Rahman Duniani Na Akhera, Allahuma Wateremshie Ishara Kutoka Mbinguni Uangamize Nayo Umtakae Na Uadhibu Nayo Umtakae Na Umghufurie Umtakae Ndio Ibaki Shingo Zao Kutokana Na Utisho Wake Zina'nyenyekea Kwa Mja Wako Na Khalifa Wako Kwa Haki Ya La Ilaha Ila Anta Na Kwa Haki Ya Rahma Yako Ambae Umiandika Juu Ya Nafsi Yako Na Kwa Haki Ya Adhim Naeem Ridhwan Ya Nafsi Yako Ambao Wao Wanaichukia Nayo Ni Al'Naeem Al'Aadham Neema Kuu Kuliko Neema Ya Pepo Yako Wakabadilisha Ridhwan Ya Nafsi Yako kwa Ghadhabu Yako Na Pepo Na Moto Mamuzi Maovu Mno Walioamua.

Allahuma Hakika Moyo Wa Maja Wako Una Ghadhabu Juu Yao Kama Vile Wewe Juu Yao Umighadhibika Na Hasira Zako Na Ghadhabu Yako Ni Zaidi Na Ni Kuu Kuliko Hasira Za Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Juu Ya Mashetani Watu Wale Ambao Wamependelea Ukafiri Kuliko Imani Na Wao Wanajua Kua Ni Haki Kutoka Kwa Mola Wao Mlezi, Allahuma Mimi Mja Wako Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Naenda Mbio Usiku Na Mchana Ili Wawe Waja Wako Ni Katika Wanao Shukuru Ndio Uridhike Juu Yao, Lakini Mashetani Watu Wanaenda Mbio Usiku Na Machana Ili Ipatikane Kutimu Yale Kinyume Na Anaotaka Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Basi Wao Wanaenda Mbio Usiku Na Mchana Ili Wafanye Waja Wako Umma Moja Katika Ukafiri Kwa'Kua Wao Wamejua Kua Wewe Hutoridhika Kwa Waja Wako Ukafiri Wakachukia Ridhwani Yako Kwajili Ya Hivo Wanaenda Mbio Ili Wafanye Watu Umma Moja Kwenye Ukafiri Ndio Wawe Pamoja Na Wao Katika Moto Wa Jahanam Kwakua Wamekata Tama Na Rahma Yako Kama Walivo Kata Tama Makafiri Na Watu Wa Makaburini Kua Watafufuliwa, Na Lakini Mimi Mja Wako Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Na Ma'Alanssar Al'Sabiqina Al'Akhyar Katika Pembe Tafauti Kwenye Ardhi Tunaenda Mbio Usiku Na Mchana Ili Kuwafanya Watu Umma Moja Kwa Kushukuru Kwa Mola Mlezi Wao Kwa'Kua Wewe Unaridhika Kwa Waja Wako Kushukuru, Allahuma Basi Yoyote Ana Haki Kwa Kupata Nusra Kutoka Kwako Basi Mnusuru Kunusuriw Mwenye Utukufu Mweza Wa Kila Kitu Hakika Wewe Ndio Allah Hapana Mola Ila Wewe Al'Wahid Al'Qahar, Allahuma Na Ufunguwe Kwa Haki Baina Ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Baina Mashetani Watu Na Wewe Ni Mbora Wa Wenye Kufungua Na Mwepesi Wa Hisabu; Ispokua Wale Ambao Wanataka Kupata Amani Na Shari La Al'Mahdi Al'Muntadhar Na Ma Anssari Wake Na Kua Na Amani Na Kaumu Yao Basi Allahuma Wahidishe Na Waislamu Na Watu Wote Kwenye Njia Yako Ilio Nyoka Ewe Mwenye Kutosheleza Kila Kitu Rahma Na Kujua Kwa Rahma Yako Ewe Mwenye Huruma Zaidi Kuliko Wote, Allahuma Wewe Ni Mwenye Huruma Zaidi Kwa Waja Wako Kuliko Mja Wako Na Wadi Wako Ni Haki Na Wewe Ni Arhama Al'Rahimin, Allahuma Hakika Wewe Umisema Na Kauli Yako Ni Haki:

{عَسَى اللَّهُ أَن يَجْعَلَ بَيْنَكُمْ وَبَيْنَ الَّذِينَ عَادَيْتُم مِّنْهُم مَّوَدَّةً ۚ وَاللَّهُ قَدِيرٌ ۚ وَاللَّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ (7) لَّا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ لَمْ يُقَاتِلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَلَمْ يُخْرِجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ أَن تَبَرُّوهُمْ وَتُقْسِطُوا إِلَيْهِمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُقْسِطِينَ (8) إِنَّمَا يَنْهَاكُمُ اللَّهُ عَنِ الَّذِينَ قَاتَلُوكُمْ فِي الدِّينِ وَأَخْرَجُوكُم مِّن دِيَارِكُمْ وَظَاهَرُوا عَلَىٰ إِخْرَاجِكُمْ أَن تَوَلَّوْهُمْ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُمْ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الظَّالِمُونَ (9)}
صدق الله العظيم [الممتحنة].

Allah Ta3ala Asema:{Asaa Allah Ajalie Baina Yenu Na Baina Ya Wale Muliowafanyia Uwaduwi Kati Yao Mawada Na Allah Ni Kadiri Na Hakika Allah Ni Ghafur Rahim (7) Hawakatazi Allah Kwa Wale Hawapigani Na Nyinyi Katika Dini Na Wala Hawa'Kuwatoweni Kwenye Manyumba Zenu Kua Mutawatendea Wema Na Muwafanyie Usawa Hakika Allah Anapenda Wanao Fanya Usawa (8) Lakini Anawakataza Allah Kwa Wale Ambao Wanawapiga Kwenye Dini Na Wakadhihiri Kuwatowa Kua Mutawafata Na Mwenye Kuwafata Basi Hao Ndio Madhalimu (9)} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Mumtahana].

Na Salam Juu Ya Mitume Na Al'Hamdu Lillah Rabi Alalamin..
Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.

وسلامٌ على المُرسلين والحمد لله ربّ العالمين..
خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
______
المشاركة الأصلية على الرابط:
[URL]http://https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=30421]