الموضوع: { Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. Na utakapo mkhofia basi mtie mtoni, na usikhofu } Sadaqa Allah Al3adhim..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. Post { Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. Na utakapo mkhofia basi mtie mtoni, na usikhofu } Sadaqa Allah Al3adhim..


    Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    21 - 08 - 1428 هـ
    04 - 09 - 2007 مـ
    09:40 مــساءً
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=172

    ــــــــــــــــــــــ

    { وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ أُمِّ مُوسَىٰ أَنْ أَرْضِعِيهِ ۖ فَإِذَا خِفْتِ عَلَيْهِ فَأَلْقِيهِ فِي الْيَمِّ وَلَا تَخَافِي }
    صدق الله العظيــــم ..

    {Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. Na utakapo mkhofia basi mtie mtoni, na usikhofu } Sadaqa Allah Al3adhim..

    Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Sala Na Salam Juu Ya Wote Ma Nabi Na Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin, Ama Baada Ya Hapo..

    Ewe Hilmi, Na je wataka kwamba Aseme Harun kwamba Katika “Al’Tabut” Sanduku Ma baki yale walio wacha Al Musa Na Mimi? Ama Aseme iko ndani yake mabaki ya Al Musa Na Sisi? Bali ilikua Kauli Yake:
    {وَقَالَ لَهُمْ نِبِيُّهُمْ إِنَّ آيَةَ مُلْكِهِ أَن يَأْتِيَكُمُ التَّابُوتُ فِيهِ سَكِينَةٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَبَقِيَّةٌ مِّمَّا تَرَكَ آلُ مُوسَى وَآلُ هَارُونَ تَحْمِلُهُ الْمَلآئِكَةُ إِنَّ فِي ذَلِكَ لآيَةً لَّكُمْ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ} صدق الله العظيم [البقرة:248].
    Allah Ta3ala Assma:
    {Na Nabii wao akawaambia: Alama ya ufalme wake ni kukuleteeni lile sanduku ambalo mna ndani yake kituliza nyoyo zenu, kitokacho kwa Mola wenu Mlezi, na mna mabaki ya waliyo yaacha Al Musa na Al Harun, wanalichukua Malaika. Bila shaka katika hayo zimo dalili kwenu ikiwa nyinyi mnaamini } Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:248].

    Na hivo hivo je wajua kwamba Sanduku dhati yake ni Aya ishara alama kutoka kwa Allah wame’ileta hapo mtoni Malaika ili Mamake Musa amtumbukize Musa Kwenye Sanduku? Na lau ingekua hakuliona Sanduku Mtoni hange’tekeleza Amri Ya Allah, Lakini Allah Amefanya hio ni ishara kwake ili ipate tumaini moyo wake wala sio yeye alio liunda sanduku bali ni Aya kutoka kwa Allah ewe Hilmi ili ipate tumaini moyo wa Mama Kwa Mtoto wake mchanga, Hakika Sisi Tutamurudishia Kwako Na tutamfanya katika Mitume Pamoja Yakua Allah Amemwamuru kwamba Amtupe Mtoni na lau angekua hakulipata sanduku mtuoni ambalo wamelileta Malaika hange tekeleza Amri Ya Allah Na Akasema Allah Ta3ala:
    {وَأَوْحَيْنَا إِلَى أُمِّ مُوسَى أَنْ أَرْضِعِيهِ فَإِذَا خِفْتِ عَلَيْهِ فَأَلْقِيهِ فِي الْيَمِّ وَلَا تَخَافِي وَلَا تَحْزَنِي إِنَّا رَادُّوهُ إِلَيْكِ وَجَاعِلُوهُ مِنَ الْمُرْسَلِينَ} [القصص:7].

    Allah Ta3ala Asema:
    {Tulimfunulia mama yake Musa kwa kumwambia: Mnyonyeshe. Na utakapo mkhofia basi mtie mtoni, na usikhofu wala usihuzunike. Hakika Sisi tutamrudisha kwako na tutamfanya miongoni mwa Mitume} Sadaqa Allah Al3adhim [Alqasas:7].

    Na alikua anarudi rudi pindi vipi atamtupa Mtoni? Lakini siku moja ali’mnyonyesha mara akaona ma askari wa firaun wanataka kuja nyumba yake ili kutafuta, Hapo alikumbuka Amri kwamba pindi akimkhofia basi atakiwa Amtupe Mtoni, Basi akatoka nae mbio kulekea upande wa mto basi hapo akaliona Sanduku ikapata tumaini moyo wake akatekeleza Amri ya Mola Mlezi wake, Alafu akamtupa Musa ndani ya sanduku, Alafu akaisukuma Sanduku kwa Mkono wake Upande wa maji yanayo tembea mtoni na hivo ni kwajili ilikua sanduku limesimama pembezoni mwa maji ewe Hilmi, Na Akasema Allah Ta3ala:
    {أَنِ اقْذِفِيهِ فِي التَّابُوتِ فَاقْذِفِيهِ فِي الْيَمِّ فَلْيُلْقِهِ الْيَمُّ بِالسَّاحِلِ يَأْخُذْهُ عَدُوٌّ لِّي وَعَدُوٌّ لَّهُ} صدق الله العظيم [طه:39].
    Allah Ta3ala Asema: { Ya kuwa mtie katika sanduku, na kisha iskume mtoni, na mto utamfikisha ufukweni. Atamchukua adui yangu naye ni adui yake } Sadqa Allah Al3adhim [Taha:39].

    Na Hilo ndilo “ Tabut Al’Sakina “ sanduku la kitulizo, Lakini Firaon alilichukua Sanduku alafu Mkewake akalichuku kutoka kwa firaon; Akamchukua Musa Aliyhi Asalat wa Al’’Salam pamoja na sanduku lake na ikabaki sanduku katika kasri ya firaon mpaka akamrithisha Allah Musa ufalme wa Firaon pamoja na Sanduku likaenda kwa kina Musa Na Harun lakini nalo likapotea Baada Kufa Musa ewe Hilmi, Na Wakalibeba Malaika Kama Vile walivo lileta Mwanzo kabla Na Alikua Harun Anampokea uongozi Musa pindi akiwa hayuko na hivo hivo amempokea uongozi baada Kufa kwake Na lau wangelikua wote wamekufa Angesema Baada ya Musa Na Harun lakini Yeye Amehadidisha kwamba Kifo cha Musa kabla ya Harun na kwamba Harun yeye ni khalifa wa Musa Baada Yake, Na Akasema Allah Ta3ala:
    {أَلَمْ تَرَ إِلَى الْمَلَإِ مِن بَنِي إِسْرَائِيلَ مِن بَعْدِ مُوسَىٰ إِذْ قَالُوا لِنَبِيٍّ لَّهُمُ ابْعَثْ لَنَا مَلِكًا نُّقَاتِلْ فِي سَبِيلِ اللَّهِ قَالَ هَلْ عَسَيْتُمْ إِن كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِتَالُ أَلَّا تُقَاتِلُوا قَالُوا وَمَا لَنَا أَلَّا نُقَاتِلَ فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَقَدْ أُخْرِجْنَا مِن دِيَارِنَا وَأَبْنَائِنَا فَلَمَّا كُتِبَ عَلَيْهِمُ الْقِتَالُ تَوَلَّوْا إِلَّا قَلِيلًا مِّنْهُمْ وَاللَّهُ عَلِيمٌ بِالظَّالِمِينَ} صدق الله العظيم [البقره:246].
    Allah Ta3ala Asema:
    {Hukuwaona watukufu katika Wana wa Israili baada ya Musa, walipo mwambia Nabii wao: Tuwekee mfalme ili tupigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu? Akasema: Je, haielekei ikiwa mtaandikiwa vita kuwa msipigane? Wakasema: Itakuwaje tusipigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na hali tumetolewa majumbani kwetu na watoto wetu? Lakini walipo andikiwa kupigana waligeuka, isipo kuwa wachache miongoni mwao. Na Mwenyezi Mungu anawajua madhaalimu} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:246].

    Lakini wewe ulihisabu kwamba Harun ni mkubwa wa Musa basi haitakiwi kwamba afe Musa kabla ya Harun; Na hio ni kauli kwa dhana ambayo haisaidi haki kitu, Alafu kwanini usijiulize nafsi yako kwanini huyu Nabi hakuongoza bani israil pindi walipo taka kupigana katika njia ya Allah? Wala hakua ni muogo ewe Hilmi lakini yeye ni mzee sana, Na je wajua kwamba imetimu kuingia bani israil Masjid alaqsa baada miyaka arubaini wala haikua kuingia kwo baada ya ma mia ya miyaka mpaka uweke jambo mbali kwamba Ataishi vipi Harun; Bali ilikua kabla miyaka arubaini katika nusu ya umri wake Mwanamume mwenye nguvu na hivo hivo Musa kwajili ya hivo amisema Ewe Mola wangu Mlezi hakika mimi si miliki ila nafsi yangu na Ndugu yangu Akasema:
    {قَالَ رَبِّ إِنِّي لَا أَمْلِكُ إِلَّا نَفْسِي وَأَخِي فَافْرُقْ بَيْنَنَا وَبَيْنَ الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ} [المائدة:25].
    Allah Ta3ala Asema
    {Akasema Ewe Mola wangu Mlezi Hakika mimi similiki ispokua nafsi yangu na ndugu yangu basi tenganisha baina yetu na baina ya kaumu ma fasiki } Sadaqa Allah Al3adhim [Al’Maida:25].

    Akasema Ta3ala:
    {قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ} صدق الله العظيم [المائدة:26]
    Allah Ta3ala Asema:
    {(Mwenyezi Mungu) akasema: Basi nchi hiyo wameharimishiwa muda wa miaka arubaini, watakuwa wakitanga-tanga katika ardhi } Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida:26];
    Yani kwamba wao wameingia msikiti wa Al’qsaa Baada ya miyaka arubaini ewe Hilmi, Na hivo hivo utakuta Harun waziri wa Musa alikua kabla miyaka arbaini mwanamume ana nguvu lakini baada ilipo pita miyaka arubaini katika zama za kutanga tanga basi amefika hali ya uze ukubwani na baada ya kua na nguvu udhaifu na uze ewe Hilmi, Na hakika umenipendeza kwamba umenijadili katika Al’Quran, Na upelelezi wako kwa Al’Quran karibu iwe ni upelelezi ya watu wa akili lau sio pungufu ya kufahamu baadhi ya mambo, Na Nataradhilia kwa Allah kwamba akuzidishe Mwangaza na uongofu ju ya uongofu wako mpaka Atimize Allah kwako Mwangaza wako.


    Na kama kwamba umenisadiki kwa kutawili ma herufu katika mwanzo ya baadhi za Sura alafu unakanusha juu ya Nasser Muhammad Al’Yamani Harufu Ya (ن) (Nun) Na unadai kwamba ni Yunus Ama jina la Samaki! Na Jee Amemahidi Allah Mtume Wake kwamba Atadhihirisha Jambo lake kwa mkono wa Mtume Wa Allah Yunus ama Samaki? Basi peleleza kiapo AlQasam Vizuri sana ewe Hilmi huwenda hutokanusha ilimu yangu, Na Akasema Allah Ta3ala:
    {ن ۚ وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ ﴿١﴾مَا أَنتَ بِنِعْمَةِ رَبِّكَ بِمَجْنُونٍ ﴿٢﴾وَإِنَّ لَكَ لَأَجْرًا غَيْرَ مَمْنُونٍ ﴿٣﴾وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ ﴿٤﴾فَسَتُبْصِرُ وَيُبْصِرُونَ ﴿٥﴾ بِأَييِّكُمُ الْمَفْتُونُ ﴿٦﴾} صدق الله العظيم [القلم].

    Allah Ta3ala Asema:
    {Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo (1) Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu (2) Na kwa hakika wewe una malipo yasiyo katika (3) Na hakika wewe una tabia tukufu (4) Karibu utaona, na wao wataona (5) Ni nani kati yenu aliye pandwa na wazimu (6)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alqalam].

    Na Akasema Allah Ta3ala
    :
    {هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَىٰ وَدِينِ الحقّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ}
    صدق الله العظيم [التوبة:33].
    Allah Ta3ala Asema:
    {Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia } Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba:33].

    Alafu Nakuona unatafsiri Al’Quran Kwa Dhana wala sio kwa nafsi ya Al’Quran utachunguza tawili! Na Kwa Allah inakusudiwa Njia.

    Ndugu Yako Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani.
    أخوك الإمام ناصر محمد اليماني.
    ــــــــــــــــــــ

    اقتباس المشاركة 398 من موضوع { وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ أُمِّ مُوسَىٰ أَنْ أَرْضِعِيهِ ۖ فَإِذَا خِفْتِ عَلَيْهِ فَأَلْقِيهِ فِي الْيَمِّ وَلَا تَخَافِي } صدق الله العظيــــم ..

    الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
    22 - شعبان - 1428 هـ
    04 - 09 - 2007 مـ
    09:40 مــساءً
    (بحسب التَّقويم الرَّسمي لأم القُرى)
    ــــــــــــــــــــــ



    {
    وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ أُمِّ مُوسَىٰ أَنْ أَرْضِعِيهِ ۖ فَإِذَا خِفْتِ عَلَيْهِ فَأَلْقِيهِ فِي الْيَمِّ وَلَا تَخَافِي }
    صدق الله العظيــــم ..


    بِسم الله الرَّحمن الرَّحيم، والصَّلاة والسَّلام على جميع الأنبياء والمُرسَلين والحمدُ للهِ ربِّ العالمين، ثُمَّ أمَّا بَعد..

    يا حلمي، فهل تُريد أن يقول هارون بأنّ في التابوت بقيّة مِّمَا ترك آل موسى وأنا؟ أو يقول فيه بقيّة مِمَّا ترك آل موسى ونحن؟ بل كان قوله:
    {
    وَقَالَ لَهُمْ نَبِيُّهُمْ إِنَّ آيَةَ مُلْكِهِ أَن يَأْتِيَكُمُ التَّابُوتُ فِيهِ سَكِينَةٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَبَقِيَّةٌ مِّمَّا تَرَكَ آلُ مُوسَىٰ وَآلُ هَارُونَ تَحْمِلُهُ الْمَلَائِكَةُ ۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لَّكُمْ إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ﴿٢٤٨} صدق الله العظيم [البقرة].

    وكذلك هل تعلم بأنّ التابوت في حدّ ذاته آيةٌ مِن الله أحضَرته الملائكة إلى اليَمِّ لكي تقذفَ أمُّ موسى بموسى في التابوت؟ ولو لم تجد التَّابوت في اليَمِّ لَما نَفَّذَت أمْر الله، ولكنّ الله جعل ذلك آيةً لها لكي يطْمئِنّ قلبها، وليست هي مَن صنع التابوت بل آيةً من الله يا حلمي لكي يطْمئِنّ قلب الأمّ على طفلها (إنَّا رادّوه إليكِ وجاعِلوه من المُرسَلين) برغم أنّ الله أمرها أن تُلقيه في اليَمِّ، ولو لم تَجِد التَّابوت في اليَمِّ الذي أحضرته الملائكة لَما نَفَّذَت أمرَ الله، وقال الله تعالى: {
    وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ أُمِّ مُوسَىٰ أَنْ أَرْضِعِيهِ ۖ فَإِذَا خِفْتِ عَلَيْهِ فَأَلْقِيهِ فِي الْيَمِّ وَلَا تَخَافِي وَلَا تَحْزَنِي ۖ إِنَّا رَادُّوهُ إِلَيْكِ وَجَاعِلُوهُ مِنَ الْمُرْسَلِينَ ﴿٧} [القصص].

    وكانت مُتَرَدِّدةً، إذ كيف تقذفه في اليَمّ؟! ولكن ذات مرةٍ أرضعته وفجأةً رأت جنود فرعون يقصدون دارها للتفتيش، وهنا تَذكَّرت الأمر بأنَّها إذا خافت عليه أن تقذفه في اليَمّ، فانطلقت به نحو اليَمّ وهناك وجدت التابوت فاطْمئنَّ قلبها ونَفَّذت أمرَ ربِّها ثُمَّ قذفَت بموسى في التَّابوت ثُمّ قَذفت التَّابوت بيديها نحو الماء الجاري باليَمِّ؛ ذلك لأنّ التابوت كان راسيًا بأطراف الماء يا حلمي، وقال الله تعالى:
    {
    أَنِ اقْذِفِيهِ فِي التَّابُوتِ فَاقْذِفِيهِ فِي الْيَمِّ فَلْيُلْقِهِ الْيَمُّ بِالسَّاحِلِ يَأْخُذْهُ عَدُوٌّ لِّي وَعَدُوٌّ لَّهُ} صدق الله العظيم [طه:39].

    وذلك هو تابوت السكينة، ولكنّ فِرعون أخذ التَّابوت ومِن ثمَّ أخذتْه من فرعون امرأتُه؛ أخذت موسى عليه الصَّلاة والسَّلام بتابوتِه، وظل التابوت في قصر فرعون حتى أورث الله موسى مُلكَ فرعون بما فيه التابوت وآلَ إلى موسى وهارون ولكنّه اختفى بعد موت موسى يا حلمي، وحملته الملائكة كما أحضرته مِن قَبْل وكان هارون يخلُف موسى في قومه إذا غاب وكذلك خلَفه مِن بعد موته، ولو كانوا جميعهم قد تُوُفّوا لقال من بعد موسى وهارون ولكنّهُ حدّد بأنّ موت موسى قبل هارون وأن هارون هو خليفة موسى مِن بعده، وقال الله تعالى:
    {
    أَلَمْ تَرَ إِلَى الْمَلَإِ مِن بَنِي إِسْرَائِيلَ مِن بَعْدِ مُوسَىٰ إِذْ قَالُوا لِنَبِيٍّ لَّهُمُ ابْعَثْ لَنَا مَلِكًا نُّقَاتِلْ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ ۖ قَالَ هَلْ عَسَيْتُمْ إِن كُتِبَ عَلَيْكُمُ الْقِتَالُ أَلَّا تُقَاتِلُوا ۖ قَالُوا وَمَا لَنَا أَلَّا نُقَاتِلَ فِي سَبِيلِ اللَّـهِ وَقَدْ أُخْرِجْنَا مِن دِيَارِنَا وَأَبْنَائِنَا ۖ فَلَمَّا كُتِبَ عَلَيْهِمُ الْقِتَالُ تَوَلَّوْا إِلَّا قَلِيلًا مِّنْهُمْ ۗ وَاللَّـهُ عَلِيمٌ بِالظَّالِمِينَ ﴿٢٤٦} صدق الله العظيم [البقرة].

    ولكنّك حسبت بأنَّ هارون أكبر مِن موسى فلا ينبغي أن يموت موسى قَبْل هارون؛ ذلك قولٌ بالظنّ الذي لا يُغني مِن الحقّ شيئًا، ثم لماذا لا تسأل نفسك لماذا هذا النّبي لم يَقُدْ بني إسرائيل حين أرادوا القتال في سبيل الله؟ وما كان جبانًا يا حلمي ولكنّه شيخٌ كبيرٌ، فهل تعلم بأنّه تمّ دخول بني إسرائيل المسجد الأقصى بعد أربعين سنة؟ ولم يكن دخولهم بعد مئات السنين حتى تستبعد الأمر بأن يتعمَّر هارون؛ بل كان قبل أربعين سنة في منتصف عمره رجُلًا قويًا وكذلك موسى، لذلك قال ربِّ إنّي لا أملُك إلَّا نفسي وأخي وقال:
    {
    قَالَ رَبِّ إِنِّي لَا أَمْلِكُ إِلَّا نَفْسِي وَأَخِي ۖ فَافْرُقْ بَيْنَنَا وَبَيْنَ الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ ﴿٢٥} [المائدة].

    قال تعالى:
    {
    قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ ۛ أَرْبَعِينَ سَنَةً ۛ يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ} صدق الله العظيم [المائدة:26]؛ بمعنى أنّهم دخلوا المسجد الأقصى بعد أربعين سنة يا حلمي، وكذلك تجد هارونَ وزيرَ موسى كان قبل أربعين سنة رجُلًا قويًّا ولكنّه بعد مُضيّ الأربعين لزمن التِّيه قد بلغ من الكبرِ عتِيًّا ومن بعد قوةٍ ضَعفًا وشَيبة يا حلمي، وقد أعجبْتَني بأنّك جادلتني من القرآن، وتدبُّرك للقرآن كاد أن يكون تدبُّر أولي الألباب لولا القُصور لفِهم بعض الأمور، وأرجو من الله أن يزيدك نورًا وهُدًى إلى هُداك حتى يُتِمّ اللهُ لك نورك.

    وكأنَّك صدَّقتني بتأويل الأحرف في أوائل بعض السِّوَر ثم تُنكر على ناصر محمد اليماني الحرف (نون) وتزعم بأنّه يونس أو اسم السمكة! وهل وعد الله رسوله بأنّه سوف يظهرُ أمره على يد رسول الله يونس أو السمكة؟! فتدبَّر القَسَمَ جيدًا يا حلمي لعلك لا تُنكرُ علمي، وقال الله تعالى:
    {ن ۚ وَالْقَلَمِ وَمَا يَسْطُرُونَ ﴿١﴾ مَا أَنتَ بِنِعْمَةِ رَبِّكَ بِمَجْنُونٍ ﴿٢﴾ وَإِنَّ لَكَ لَأَجْرًا غَيْرَ مَمْنُونٍ ﴿٣﴾ وَإِنَّكَ لَعَلَىٰ خُلُقٍ عَظِيمٍ ﴿٤﴾ فَسَتُبْصِرُ وَيُبْصِرُونَ ﴿٥﴾ بِأَييِّكُمُ الْمَفْتُونُ ﴿٦﴾} صدق الله العظيم [القلم].

    وقال الله تعالى:
    {
    هُوَ الَّذِي أَرْسَلَ رَسُولَهُ بِالْهُدَىٰ وَدِينِ الْحَقِّ لِيُظْهِرَهُ عَلَى الدِّينِ كُلِّهِ وَلَوْ كَرِهَ الْمُشْرِكُونَ ﴿٣٣} صدق الله العظيم [التوبة]. ثم إنّي أراك تُأَوِّلُ القُرآنَ بالظنِّ وليس بنفس القرآن تستنبط التأويل! وإلى الله قصد السبيل.

    أخُوكَ الإمام؛ ناصر محمد اليمانيّ.
    _____________

    [لقراءة البيان من الموسوعة]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=5996
    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..



المواضيع المتشابهه
  1. {isipo kuwa anaye shuhudia kwa haki, na wao wanajua) Sadaqa Allah Al3adhim ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 17-08-2020, 06:13 PM
  2. {wanao mcha Mwenyezi Mungu miongoni mwa waja wake ni wenye ilimu} Sadaqa Allah Al3adhim ..
    بواسطة الراضي برضوان الله في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 23-07-2020, 03:59 AM
  3. { Waiteni kwa baba zao, maana huo ndio uadilifu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu } Sadaqa Allah Al3adhim ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 14-04-2020, 11:17 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 23-04-2018, 02:42 AM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 15-02-2018, 06:31 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •