- 2 -

Al’Imam Nasser Muhammd Al’Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
22 - 12 - 1429 هـ
21 - 12 - 2008 مـ
09:34 مساءً
ــــــــــــــــــ
الردُّ بالحقّ حقيقٌ لا أقول على الله غير الحّق، ونزيدكم عِلماً بإذن الله مُعلّم الإمام المهديّ ..
{الْخَبِيثَاتُ لِلْخَبِيثِينَ وَالْخَبِيثُونَ لِلْخَبِيثَاتِ ۖ وَالطَّيِّبَاتُ لِلطَّيِّبِينَ وَالطَّيِّبُونَ لِلطَّيِّبَاتِ} ..
Kurudisha Jibu kwa Haki Hakika Sisemi Ju Ya Allah ispokua Haki, Na Nawazidishia ilimu Kwa Idhini Ya Allah Mwalimu Wa Al’Imam Al’Mahdi..
{Wanawake waovu ni wa wanaume waovu, na wanaume waovu ni wa wanawake waovu. Na wanawake wema ni wa wanaume wema, na wanaume wema ni wa wanawake wema } ..


Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Mtume Wa Allah Na Alihi Yake Walio Wazuri Na Walio Fwata Haki Mpaka Siku Ya Malipo, Ama Baada Ya Hapo..

Hakika Inaeleza Al’Quran Kufafanua kuhusu maudhui hi sinfu aina tatu Nawo Ni: Watu Wa Mkono Wa Kulia Na Watu Wa Mkono wa Kushoto Na Waliotangulia Waliokurubishwa, Alafu Akawaeleza Kwamba waliokurubishwa ni thuluthi katika wa mwanzo na hao wao ni katika wafwasi wa Mitume katika mwanzo wa ulinganizi wao wakasadiki na wakanusuru na wakatowa kwa njia ya Allah na wakatekeleza yale Allah Aliwafaridhia ju yao, Alafu wakazidisha kwa vitendo va Nafli ambazo hazikufaradhishwa wakakimbilia kufanya kheri na wakashindana wakataka Kwa Mola Mlezi wao Alwasila Yupi Katika wao yuko karibu zaidi Kwa Allah Akawapenda Allah Na akawakaribisha, Na miongoni mwao alie uliwa katika njiaa ya Allah, Na miongoni mwao alie kufa ju ya tandiko lake la kulalia Akawaingiza Allah bustani la Neema hapo hapo wanapo kufa bila ya hisabu kabla siku ya hisabu, Basi hawa’gawanyiwi vitabu wao siku ya kiyama na wao ni thuluthi katika wa mwanzo katika wafwasi wa Mitume na kidogo katika wa mwisho katika Wa mwisho wanaofwata katika wale walienda mwendo wa walio tangulia walio bora wakatenda vitendo vao Akawaingiza Allah Janna Yake bila ya hisabu hapo hapo wanapo kufa kwao, Hawo ndio wale waliotekeleza faradhi ya Zaka ya lazima na wtalipwa malipo yake watapata mara kumi na alafu wakatowa kwa njia ya Allah kujitolea kutoka kwao kuthibitisha kutoka kwa nafsi zao Na Hakika Allah Ni Karimu Kuliko wao basi akawaongeza mardufu wao kutowa kwa kujitolea kwao kwa mara miasaba, Basi hivo hivo Allah Anamongezea Mardufu ju ya hayo kwa yule anae taka.

Na Ama watu wa mkono wa kulia basi hakika wao ni wale wanao tekeleza vitendo ambazo zime’faradhishwa na wala hawa kuzidisha ju ya hayo, na Akaridhika Allah ju yao lakini wao hawakujikurubisha kwa Mola Mlezi Wao kwa vitendo Vema va nafli kujikurubisha kwa Allah ili wapate mapenzi Yake ju ya Ridha Yake kama walivo fanya walio’kurubishwa, Kwajili ya hivo hawakupata watu wa mkono wa kulia ispokua Radhi za Allah Ju Yao kulingna wao wametekeleza yale Alio Faradhisha Allah ju yao kama mfano wa faradhi ya zaka ya lazima; Wametoa Akawandikia Allah ju yao ujira mara kumi mfano wake, Lakini wao hawakujikurubisha kwa Allah kwa kutowa kwa njia ya Allah na sadaka kutaka ukuruba kwa Allah kwajili ya hivo hawakupata ispokua Radhi Zake Akawandika wao Allah ni katika watu wa Mkono wa kulia, Lakini wao hawatoingia janna ispokua baada kupewa wao vitabu vao kwajili ya hivo wanaitwa watu wa mkono wa kulia kwajili hupewa wao vitabu vao kwa mikono yao ya kulia, Na wao ni thuluthi wa mwanzo waumini katika wale walio amini katika zama za mitume na thuluthi katika wa mwisho katika wale walio wafwata kwa iman ya haki baada yao na hawakufanya ispokua kama vitendo va wale ambao kabla yao katika watu wa Mokono wa kulia basi hawakutowa ila vitendo va Lazima ju yao na hawa’kujikurubisha kwa vitendo va kheri va nafli wakamfanyia Allah hisabu Akawahisabia Kwa Vitendo Vao.

Na Ama Watu wa mkono wa kushoto basi wao ndio wanagawanyiwa wao vitabu vao kwa mikono Yao ya kushoto na hao ndio hawakumtii Allah wala Mitume Wake, Na Wote Watafanyiwa Hisabu; Watu Wa Mkono Wa Kulia Na Watu Wa Mkono Wa Kushoto pamoja na tafauti ya Matokeo. Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:
{فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ ﴿٧﴾ فَسَوْفَ يُحَاسَبُ حِسَابًا يَسِيرًا ﴿٨﴾ وَيَنقَلِبُ إِلَىٰ أَهْلِهِ مَسْرُورًا ﴿٩﴾ وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ وَرَاءَ ظَهْرِهِ ﴿١٠﴾ فَسَوْفَ يَدْعُو ثُبُورًا ﴿١١﴾ وَيَصْلَىٰ سَعِيرًا ﴿١٢﴾} صدق الله العظيم [الإنشقاق].

Allah Ta3ala Asema:
{
Ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wa kulia (7) Basi huyo atahisabiwa hisabu nyepesi (8) Na arudi kwa ahali zake na furaha (9) Na ama atakaye pewa kitabu chake kwa nyuma ya mgongo wake (10) Basi huyo ataomba kuteketea (11) Na ataingia Motoni (12)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alinshiqaq].

Na Akabainisha Allah hi aina kutafautisha ili achaguwe mwislamu ni katika aina gani atakua, Basi ikiwa hataki kua ila awe ni katika watu wa mkono wa kulia na hakutekeleza ispokua Aliofaradhisha Allah ju yake na ikamtosha hayo basi Amemahidi Allah Janna Akachelewesha kuingia kwake mpaka siku watakapo smama watu kwa Mola Mlezi wa Ulimwengu.


Na hakika tafauti ni adhimu kuu baina ya watu wa mkono wa kulia na walio’kurubishwa walio tangulia kwa janna kabla Yao, Na hivo ni kwajili walio’kurubishwa wanaingia Janna mbele yao bila ya hisabu kabla siku ya hisabu wakati wanapo kufa kwao hapo hapo, Hawo ndio wale waliuza kwa Allah nafsi zao na malizao na wakajahidi katika njia ya Allah ili kuinuwa Neno La Allah hawo watageuka kwa uwezo wa Allah Malaika katika binadamu baada kufa kwao wako hai kwa Mola Mlezi Wao wanaruzukiwa hapo papo wanapo kufa kwao ama kuliwa kwao kwa njia ya Allah ndio anawaozesha wao ma hurulaini kama Kwamba ni yakuti na marjan, Na Anaumba kutokana na wao mahurulen ambao ni hirimu moja kama lulu zilio hifadhiwa Basi Anawaozesha Allah kwa Wanaume Katika watu wa mkono wa kulia, Na hivo hivo Anaumba Allah kutokana nawo wavlana wenye ujana wa mliele na hawo vijana watoto wao kama mfano wa lulu zilizomo katika chaza. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

{وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ غِلْمَانٌ لَّهُمْ كَأَنَّهُمْ لُؤْلُؤٌ مَّكْنُونٌ ﴿٢٤﴾} صدق الله العظيم [الطور].
Allah Ta3ala Assam: {we wanawapitia wavlana kama kwamba ni lulu zilizomo katika chaza(24)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altur].

Basi wanawake wema na hawo ni huruleini ni katika kizazi cha walio tangulia basi wao Anawaozesha Wanaume wema katika watu wa mkono wa kulia, Na Ama wavlana wa milele wao ni hawo hawo vijana wa milele kutoka kwa kizazi cha waliotangulia basi hakika Yeye Anawaozesha Katika wanawake wema katika watu wa mkono wa Kulia. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

{وَالطَّيِّبَاتُ لِلطَّيِّبِينَ وَالطَّيِّبُونَ لِلطَّيِّبَاتِ} صدق الله العظيم [النور:26].
Allah Ta3ala Asema: {Na wanawake wema ni wa wanaume wema, na wanaume wema ni wa wanawake wema} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnur:26].


Na huruleini ambao kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa na hivo hivo vijana wale ambao kama lulu zilizo katika chaza wote ni kizazi Cha binadamu walio tangulia walio’Kurubishwa walio bora na mamazao ni kutoka huruleini wale ambao Allah Amewaumba kwa kun fayakun kua na linakua yakuti na marjani Akawaozesha waliotangulia walio’kurubishwa, Na hamutoweza kuwaza kiasi gani uzuri wao na Vile Alivo Waumba Allah. Kusadikisha Kauli Ya Allah:
{فَلَا تَعْلَمُ نَفْسٌ مَّا أُخْفِيَ لَهُم مِّن قُرَّةِ أَعْيُنٍ جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٧﴾} صدق الله العظيم [السجدة].
Allah Ta3ala Asema: {Na wala haijuwi nafsi yalio fichwa kutokana na burudisho la macho malipo kwa yale walikua wakiyatenda (17)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alsajida].

Alafu Anaumba Allah kutoka migongo ya waliotangulia kizazi hirima moja ili Awaozeshe watu wa mkono wa kulia. Na hivo hivo Anatowa kutoka kwa migongo ya walio tangulia vijana wao kama mfano wa lulu ilio hifadhiwa ili Awaozeshe wanawake wema katika watu wa mkono wa kulia. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَفَرَأَيْتُم مَّا تُمْنُونَ ﴿٥٨﴾ أَأَنتُمْ تَخْلُقُونَهُ أَمْ نَحْنُ الْخَالِقُونَ ﴿٥٩﴾ نَحْنُ قَدَّرْنَا بَيْنَكُمُ الْمَوْتَ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ ﴿٦٠﴾ عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ ﴿٦١﴾} صدق الله العظيم [الواقعة].
Allah Ta3ala Asema:
{ Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza (58) Je! Mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji (58) Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi (60) Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua (61)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alwaqia].

Na Maana Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ}
{na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua},
Yani hawo ni Wake wa waliotangulia walio bora wala hawo sio kutoka nafsi zao. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

{سُبْحَانَ الَّذِي خَلَقَ الْأَزْوَاجَ كُلَّهَا مِمَّا تُنبِتُ الْأَرْضُ وَمِنْ أَنفُسِهِمْ وَمِمَّا لَا يَعْلَمُونَ ﴿٣٦﴾} صدق الله العظيم [يس].
Allah Ta3ala Asema: {Subhana, Ametakasika, aliye umba dume na jike vyote katika vinavyo mea katika ardhi na katika nafsi zao, na katika wasivyo vijua (36)} Sadaqa Allah Al3adhim [ Yasin ].
Hawo ni huruleini Amewaumba Allah katika musivo vijua kama kwamba ni yakuti na marjani. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

{فَلَا تَعْلَمُ نَفْسٌ مَّا أُخْفِيَ لَهُم مِّن قُرَّةِ أَعْيُنٍ جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٧﴾}صدق الله العظيم.

Allah Ta3ala Asema: {Na wala haijuwi nafsi yalio fichwa kutokana na burudisho la macho malipo kwa yale walikua wakiyatenda (17)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alsajida].

Na ama wanawake waovu ambao ni ma khabithi ambao wale wako katika janna ya Al’Masi7h Adajal basi mama zao ni wanawake wa mashetani na baba zao ni katika ma shetani binadamu, Na atakae mfwata Al’Masi7h adajal basi yeye ni muovu khabithi anamozesha khabithi muovu mwanamke hata kama ni mzuri wa sura basi yeye ni muovu khabithi hazai ispokua shetani rajim, Na hivo hivo wanaume katika waovu makhabithi mama zao katika wanawake mashetani na baba zao ni katika mashetani Binadamu, Na hawo wanawake wanagawanyika aina mbili kulingana na huruleini wanagawanyika aina mbili nawo ni: Huruleini kama mfano wa yakuti na marjani Na hivo hivo huruleini kama mfano wa lulu zilizomo katika chaza, Basi kama Vile wanatafautiana kwa uzuri katika janna ya milele basi hivo hivo kuiga katika janna ya fitna basi waovu makhabithi wanawake katika janna ya fitna wanatafautiana katika uzuri wao, Na wale wanawake wazuri katika wote katika makhabithi waovu ambao mama zao ni wanawake mashetani na babazo ni mashetani binadamu, Na walio chini yao kwa uzuri wanawake makhabithi wengine kizazi chao babazao na mamazao kutokana na Yajuj na Majuj na wote ni wanawake makhabithi waovu amewafanya Allah fitna ya makhabithi wanaume katika wafwasi wa Al’Masi7h adajal, Na ama wanaume waovu makhabithi basi wao babazao ni kutokana na binadamu na mama zao ni wanawake mashetani Aewafanya Allah Wa wanawake waovu makhabithi katika wafwasi wa Al’Masi7h adajal. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{الْخَبِيثَاتُ لِلْخَبِيثِينَ وَالْخَبِيثُونَ لِلْخَبِيثَاتِ} صدق الله العظيم [النور:26].
Allah Ta3ala Asema: {Wanawake waovu ni wa wanaume waovu, na wanaume waovu ni wa wanawake waovu } Sadaqa Allah Al3adhim [Alnur:26].

Kwajili ya hivo alikua anataka kuwafitini yule ambae ananijadili sana katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
{يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُم مِّن نَّفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً} صدق الله العظيم [النساء:1]
Allah Ta3ala Asema: {Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ile ile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi } Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa:1].
Na anataka kufanya wanawake waovu makhabithi ambao hapatikani moja katika wao ni bikra wao ni ma huruleini na hata kama hajafika miyaka ya kubaleghi basi hatawatompata Ma khabithi ni bikra ila ikiwa bado ni mtoto mdogo ! Na anataka muwaze kwamba wao ni Wake wa watoto wa Adam wa kiume! Na anataka kusema kwamba wao ni ma huruleini wale ambao Amewahidi Allah nao Na hivo ili mukiwapata sio bikra anasema wali’inhiliwa kabla kutoka kwa kizazi cha Adam Alipo kua katika janna, Lakini Al’Imam Al’Mahdi Wa Kweli Kutoka Kwa Mola Mlezi Wenu tulikua kwa shetani ambae yuko ndani yake yule mwanamume tuko mbele yake namzuwia nikawambinishia nyinyi kwamba wao wanawake hawo sio Ma huruleini ambao Amewahidi Allah nao kwamba ni hirima Pima hawajaingiliwa wala kuguswa kabla yao na binadamu wala Ma jini, Na ama Ma huru wa adajal basi wameingiliwa kabla na walio fitinika na wao wengi katika ma jini na binadamu.

Na wa kando ni mke wa wote katika dini ya adajal ibilisi aliolaniwa na kizazi cha wanawake hao ni Yajuj na Majuj, Watoto wao wa kiume ni kutoka kwa kila mgongo kwajili ya hivo Yajuj na Majuj kutokaka kila pahala wanazana, Na Salam Ju Ya Mitume Na Al’Hamdulillah Rabil3alamin..

Na Ama kusmama siku ya kiyama miyaka alfu hamsini: Basi hio ni katika utungaji ya wale wanasema ju ya Allah yale wasoyajua haikubali akili wala mantik, Miyaka alfu hamsini na watu wema wamesimama hawaingi janna! Na je anasafiki hi mwenye akili? Bali hivo ni umri nitawabainishia katika wakati wake lakini watu wengi hawajuwi.

Na Salam Ju ya Ma Anssar Walio Tangulia Walio Bora walio chaguliwa katika binadamu katika wale walio Sadiki na wakanusuru Sala Allahu ju yao na Malaika Wake Akawatowa kutoka Ma giza kwenda kwa Nur na wakawa kwa ma Aya za Mola Mlezi Wao wameyakinisha wakasadiki kwa Bayana ya haki ya Al’Quran Al3adhim, Na kila tukiwajia na bayana ya haki inawazidisha imani ju ya imani yao na ju ya Mola Mlezi wao wana tegemea, Hawo ju yao Sala kutoka kwa Mola Mlezi wao na Rahma, Na hawo ndio walio Faulu, Hawo ndio wale ambao wamesadiki na wakanusuru kwa nguvu zao zote kwakila mbinu na njia, Na Hawawi Sawa Wao na walio sadiki na hawakufanya nashati yoyote kwajili ya kunusuru haki na kuitangaza kwa ulimwengu, Na hakika wote kwetu ni wenye kukirimiwa wala sio sawa katika kukirimu, Na kila moja wao atakirimiwa kulingana na tulio’ona nae kutokana na juhudi kunusuru haki basi tutamkirimu baada ya kudhirika ju ya ulimwengu kukirimu pakubwa, Na Sala Allahu ju yao wa Salam tasliman kathiran, Na kwa Allah yanarudi mambo yeye ajua imani yao na anajua ukhaini wa macho na kinacho ficha vifua na kwake maregeo, Na Salam Ju ya Waja Wake Wema Kutokana Na Waislamu Wote.
Ndugu Wa Waislamu Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani.


أخو المسلمين الإمام ناصر محمد اليماني.
_____________


اقتباس المشاركة 4096 من موضوع { يَوْمَ نَحْشُرُ الْمُتَّقِينَ إِلَى الرَّحْمَٰنِ وَفْدًا } صدق الله العظيم ..

- 2 -
الإمام المهديّ ناصر محمّد اليمانيّ
23 - ذو الحجة - 1429 هـ
21 - 12 - 2008 مـ
09:34 مساءً
( حسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=523
ــــــــــــــــــ


الردُّ بالحقّ؛ حقيقٌ لا أقول على الله غير الحّق، ونزيدكم عِلمًا بإذن الله مُعلِّم الإمام المهديّ ..
{الْخَبِيثَاتُ لِلْخَبِيثِينَ وَالْخَبِيثُونَ لِلْخَبِيثَاتِ ۖ وَالطَّيِّبَاتُ لِلطَّيِّبِينَ وَالطَّيِّبُونَ لِلطَّيِّبَاتِ} ..


بسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ، والصلاة والسلام على رسول الله وآله الطيّبين والتّابعين للحقّ إلى يوم الدين، وبعد..

إنّ القُرآن يشرح في هذا الموضع ثلاثة أصناف وهم: أصحاب اليمين وأصحاب الشمال والسابقون المُقربون،ثُمّ أخبركم بأنّ المُقرَّبين ثُلَّةٌ مِن الأوّلين وهم من أتباع الرُّسُل في بداية دعوتهم فصدَّقوا ونَصَروا وأنفقوا في سبيل الله وأدّوا ما فرضه الله عليهم، ومن ثُمّ تزوّدوا بنوافل الأعمال غير المفروضة فسارعوا في فعل الخيرات وتنافسوا وابتغوا إلى ربّهم الوسيلة أيّهم أقرب إلى الله فأحبّهم الله وقرّبهم، ومنهم من قُتِل في سبيل الله، ومنهم مَن مات على فراشه وأدخلهم الله جنّة النّعيم فور موتهم بغير حسابٍ من قبل يوم الحساب، فلا تُصرَف لهم كُتبٌ يوم القيامة وهم ثُلَّةٌ من الأوّلين من أتباع الرُسل وقليلٌ من الآخرين مِن التّابعين الآخرين من الذين حذوا حذوَ السّابقين الأخيار وعملوا عملهم وأدخلهم الله جنّته بغير حساب فور موتهم، أولئك الذين أدّوا فرض الزكاة الجبريّة ولهم عشرةُ أمثالها ومن ثُمّ أنفقوا في سبيل الله طوعًا تثبيتًا من أنفسهم وكان الله أكرم منهم فضاعف لهم النّفقة الطوعيّة بسبعمائة ضعفٍ، وكذلك يضاعف الله فوق ذلك لمن يشاء.

وأمّا أصحاب اليمين فهم الذين يؤدّون الأعمال المفروضة ولم يزيدوا على ذلك ورضي الله عنهم ولكنّهم لم يتقرّبوا إلى ربهم بنوافل الأعمال الصالحة قُربَةً إلى الله لكي ينالوا محبّته إضافةً إلى رضوانه كما فعل المُقرّبون، ولذلك لم يَنَلْ أصحاب اليمين إلّا رضوان الله عليهم نظرًا لأنّهم أدّوا ما فرضه الله عليهم كمثل فرض الزكاة الجبريّة؛ أدّوها وكتب الله لهم أجر عشرة أمثالها، ولكنهم لم يتقرّبوا إلى الله بالإنفاق في سبيل الله والصدّقات قُربةً إلى الله ولذلك لم ينالوا إلّا رضوانه فكتبهم الله من أصحاب اليمين، ولكنّهم لا يدخلون الجنّة إلّا بعد أن تُعطى لهم كُتبهم ولذلك يُسمَّون أصحاب اليمين لأنها تُعطى لهم كُتبهم بأيديهم اليُمنى، وهم ثُلَّةٌ من الأوّلين المؤمنين من الذين آمنوا في عصر الرُسل وثُلَّةٌ من الآخرين من الذين اتّبعوهم بالإيمان بالحقّ من بعدهم ولم يفعلوا إلّا كفعل الذين من قبلهم من أصحاب اليمين فلم يؤدّوا إلّا الأعمال الجبريّة عليهم ولم يتقرّبوا بنوافل الأعمال الخيريّة وحاسبوا الله وحاسبهم بعملهم.

وأمّا أصحاب الشمال فهم الذين تُصرَف لهم كُتبهم بأيديهم الشمال وهم الذين لم يطيعوا الله ولا رسُله، والجميع يُحاسَبون؛ أصحاب اليمين وأصحاب الشمال مع اختلاف النتائج. تصديقًا لقول الله تعالى: {فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ ﴿٧﴾ فَسَوْفَ يُحَاسَبُ حِسَابًا يَسِيرًا ﴿٨﴾ وَيَنقَلِبُ إِلَىٰ أَهْلِهِ مَسْرُورًا ﴿٩﴾ وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ وَرَاءَ ظَهْرِهِ ﴿١٠﴾ فَسَوْفَ يَدْعُو ثُبُورًا ﴿١١﴾ وَيَصْلَىٰ سَعِيرًا ﴿١٢﴾} صدق الله العظيم [الإنشقاق].

وبيّن الله هذا التمييز لكي يختار المسلم من أيِّ صنفٍ يكون، فإن كان لا يريد إلّا أن يكون من أصحاب اليمين فلم يؤدِّ إلّا ما فرضه عليه وحسبه ذلك فوعده الله بالجنّة وأخَّر دخوله إلى يوم يقوم النّاس لربّ العالمين.

وإنّ الفرق لعظيم بين أصحاب اليمين والمُقَرَّبين السابقين إلى الجنّة من قبلهم، وذلك لأنّ المُقرّبين يدخلون الجنّة بغير حسابٍٍ قبل يوم الحساب فور موتهم، أولئك الذين باعوا لله أنفسهم وأموالهم وجاهدوا في سبيل الله لإعلاء كلمة الله أولئك يتحوّلون بقدرة الله إلى ملائكة من البشر من بعد موتهم أحياء عند ربهم يرزقون فور موتهم أو مقتلهم في سبيل الله فيُزوّجهم بحورٍ كأنَّهُنّ الياقوت والمرجان، ويُنشئ الله منهم الحور العُرب الأتراب كأمثال اللؤلؤ المَكنون فيزوجهُنّ الله للرجال من أصحاب اليمين، وكذلك يُنشئ الله منهم الولدان المُخلَّدين وهم الغِلمان من أولادهم كأمثال اللؤلؤ المَكنون. تصديقًا لقول الله تعالى: {وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ غِلْمَانٌ لَّهُمْ كَأَنَّهُمْ لُؤْلُؤٌ مَّكْنُونٌ ﴿٢٤﴾} صدق الله العظيم [الطور].

فأمّا الطّيبات وهُنّ الحور العين من ذُريّات السابقين فإنه يزوجهُنّ للطّيبين من الذكور من أصحاب اليمين، وأما الولدان المُخَلَّدون وهُم ذاتهم الغِلمان المُخَلَّدون من ذُريّات السابقين فإنه يزوّجهم للطّيبات من أهل اليمين. تصديقًا لقول الله تعالى: {وَالطَّيِّبَاتُ لِلطَّيِّبِينَ وَالطَّيِّبُونَ لِلطَّيِّبَاتِ} صدق الله العظيم [النور:26].

والحور العين اللاتي كأمثال اللؤلؤ المَكنون وكذلك الغلمان الذين هُم كأمثال اللؤلؤ المَكنون جميعهم من ذُريّات البشر السابقين المُقرَّبين الأخيار وأُمّهاتهم من الحور العين اللاتي خلقهُنّ الله بكُنّ فيكُون كأنهُنّ الياقوت والمرجان فزوجهُنّ للسابقين المُقرّبين، ولا تستطيعون أن تّتخيلوا كم مدى جمالهِنّ ومِمّا خلقهُنّ الله. تصديقًا لقول الله تعالى: {فَلَا تَعْلَمُ نَفْسٌ مَّا أُخْفِيَ لَهُم مِّن قُرَّةِ أَعْيُنٍ جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٧﴾} صدق الله العظيم [السجدة].

ثُمّ يُنشئ الله من ظهور السابقين ذُرّيات العُرُب الأتراب ليزوجهُنّ لأصحاب اليمين، وكذلك يُنشئ من ظهور السابقين غِلمانًا لهم كأمثال اللؤلؤ المَكنون ليزوّجهم للطّيبات من أصحاب اليمين. تصديقًا لقول الله تعالى: {أَفَرَأَيْتُم مَّا تُمْنُونَ ﴿٥٨﴾ أَأَنتُمْ تَخْلُقُونَهُ أَمْ نَحْنُ الْخَالِقُونَ ﴿٥٩﴾ نَحْنُ قَدَّرْنَا بَيْنَكُمُ الْمَوْتَ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ ﴿٦٠﴾ عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ ﴿٦١﴾} صدق الله العظيم [الواقعة].

ومعنى قوله تعالى: {وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ} صدق الله العظيم، أي وتلك زوجات السابقين الأخيار ولسنَ من أنفسهم . تصديقًا لقول الله تعالى: {سُبْحَانَ الَّذِي خَلَقَ الْأَزْوَاجَ كُلَّهَا مِمَّا تُنبِتُ الْأَرْضُ وَمِنْ أَنفُسِهِمْ وَمِمَّا لَا يَعْلَمُونَ ﴿٣٦﴾} صدق الله العظيم [يس].

أولئك الحور العين خلقهُنّ الله مما لا تعلمون كأنّهُنّ الياقوت والمرجان . تصديقًا لقول الله تعالى: {فَلَا تَعْلَمُ نَفْسٌ مَّا أُخْفِيَ لَهُم مِّن قُرَّةِ أَعْيُنٍ جَزَاءً بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ ﴿١٧﴾} صدق الله العظيم.

وأمّا الخبيثات اللاتي في جنّة المسيح الدّجال فأُمّهاتهن من إناث الشياطين وآباؤهم من شياطين البشر، ومن اتّبع المسيح الدّجال فهو خبيثٌ يزوّجه بخبيثةٍ وإن كانت جميلةً فهي خبيثةٌ فلا تلدُ إلّا شيطانًا رجيمًا، وكذلك الذكور من الخبيثين أُمّهاتهم من إناث الشياطين وآباؤهم من شياطين البشر، وينقسمن إلى نوعين نظرًا لأنّ الحور العين ينقسمن إلى نوعين وهنّ: الحور كأمثال الياقوت والمرجان وكذلك الحور كأنّهُنّ اللؤلؤ المَكنون، وكما يتفاوتن في الجمال في جنّة المأوى فكذلك التقليد في جنّة الفتنة فالخبيثات في جنّة الفتنة يتفاوتن في الجمال، وأجملهُنّ الخبيثات اللاتي أُمّهاتهنّ من إناث الشياطين وآباؤهُنّ من شياطين البشر، وأدنى منهُنّ جمالًا خبيثاتٌ أُخريات من ذُريّاتهم آباؤهم وأُمّهاتهم من يأجوج ومأجوج وجميعهنّ خبيثاتٌ جعلهنَّ الله فتنةً للخبيثين من أتباع المسيح الدّجال، وأمّا الخبيثين فهم الذكور آباؤهم من البشر وأُمّهاتهم من إناث الشياطين جعلهم الله للخبيثات من أتباع المسيح الدّجال. تصديقًا لقول الله تعالى: {الْخَبِيثَاتُ لِلْخَبِيثِينَ وَالْخَبِيثُونَ لِلْخَبِيثَاتِ} صدق الله العظيم [النور:26].

ولذلك كان يريد فتنتكم ذلك الذي جادلني كثيرًا في قول الله تعالى: {يَا أَيُّهَا النَّاسُ اتَّقُوا رَبَّكُمُ الَّذِي خَلَقَكُم مِّن نَّفْسٍ وَاحِدَةٍ وَخَلَقَ مِنْهَا زَوْجَهَا وَبَثَّ مِنْهُمَا رِجَالًا كَثِيرًا وَنِسَاءً} صدق الله العظيم [النساء:1]. ويريد أن يجعل الخبيثات اللاتي لا توجد واحدة منهُنّ بكرًا هُنّ الحور العين ولو لم تبلغ سنّ الحُلم فلن يجدها الخبيثون بكرًا إلّا ما كانت لا تزال طفلة! ويريد أن يوهمكم أنهُنّ زوجات أولاد آدم وأنّه تمّ إخراج آدم وزوجته وذريَّته وبقيت أزواج أولاد آدم! ويريد أن يقول أنّهُنّ الحور العين اللاتي وعدكم الله بهنّ وذلك حتى إذا لم تجدوهُنّ أبكارًا يقول أنّه تمّ طمثهُنّ من قَبْل من قِبَلِ ذُريّات آدم يوم كان في الجنّة! ولكنّ الإمام المهديّ الحقّ من ربكم كُنّا للشيطان الذي في ذلك الرجل لبالمرصاد فبيّنّا لكم أنّهُنّ لسن الحور العين اللاتي وعدكم الله بهنّ عُرُبًا أترابًا لم يطمِثهُنّ قبلهم إنسٌ ولا جان، وأمّا حور الدّجال فطَمَثهُنّ من قبل المفتونون بهنّ كثيرًا من الجنّ والإنس.

والطارفة زوجة للجميع في دين الدّجال إبليس اللعين ومن ذُرياتهنّ يأجوج ومأجوج، أولادهُنّ من كُل ظهرٍ ولذلك يأجوج ومأجوج من كُلِّ حدبٍ ينسلون، وسلامٌ على المُرسَلين والحمدُ لله رب العالمين..

وأمّا الوقوف يوم القيامة خمسين ألف سنة: فذلك من تأويل الذين يقولون على الله ما لا يعلمون لا يقبله عقلٌ ولا منطقٌ، خمسين ألف سنة والصالحون واقفون لا يدخلون الجنّة! فهل يُصدِّق هذا عاقل؟ بل ذلك عُمْرٌ نُبيّنه في وقته وحينه ولكنّ أكثر النّاس لا يعلمون.

والسلام على الأنصار السابقين الأخيار خير البريّة وصفوة البشريّة من الذين صَدَّقوا ونَصَروا صلّى الله عليهم وملائكته فأخرجهم من الظلمات إلى النّور وكانوا بآيات ربّهم موقنين فصدّقوا بالبيان الحقّ للقرآن العظيم، وكلّما جئناهم ببيان آيةٍ جديدة زادتهم إيمانًا إلى إيمانهم وعلى ربهم يتوكّلون، أولئك عليهم صلواتٌ من ربّهم ورحمة، وأولئك هم المفلحون؛ أولئك الذين صدَّقوا ونَصَروا بكُلِّ ما أوتوا من قوة بِكُلِّ حيلةٍ ووسيلة، ولا يستوون هم والذين صَدَّقوا ولم يكن لهم أيّ نشاط لنصرة الحقّ ونشره للعالمين، وكُلٌّ لدينا مُكرّمون وليسوا سواءً في التكريم، وكُلٌ منهم يُكرّم حسب ما رأينا له من جُهدٍ لنصرة الحقّ فنكرّمُه من بعد الظهور على العالمين تكريمًا، وصلّى الله عليهم وسلّم تسليمًا كثيرًا، وإلى الله ترجع الأمور هو أعلمُ بإيمانهم ويعلمُ خائنة الأعين وما تخفي الصدور وإليه النشور، وسلامُ الله على عباده الصالحين من كافة المسلمين..

أخو المسلمين الإمام ناصر محمد اليماني.
_____________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..