الموضوع: Nashuhudia Kwa Allah Shahada Ya Haki Ya Yakini Kwamba Imetimu Kuwekwa Vitone Na Kupangwa Shakli Ya Al'Quran Wakati Wa Kuteremshwa Kama Vile Alikua Akitamka Nayo Muhammad Mtume Wa Allah.

النتائج 1 إلى 2 من 2
  1. افتراضي Nashuhudia Kwa Allah Shahada Ya Haki Ya Yakini Kwamba Imetimu Kuwekwa Vitone Na Kupangwa Shakli Ya Al'Quran Wakati Wa Kuteremshwa Kama Vile Alikua Akitamka Nayo Muhammad Mtume Wa Allah.



    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    18 - 06 - 1432 هـ
    22 - 05 - 2011 مـ
    02:05 صباحاً
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=15773

    ـــــــــــــــــــــــ


    أشهدُ لله شهادة الحقّ اليقين أنّه تمّ تنقيط وتشكيلُ القرآن حين تنزيله كما كان يلفظ به محمدٌ رسول الله..
    وبيان الإمام المهدي حول حرف (با) ..
    Nashuhudia Kwa Allah Shahada Ya Haki Ya Yakini Kwamba Imetimu Kuwekwa Vitone Na Kupangwa Shakli Ya Al'Quran Wakati Wa Kuteremshwa Kama Vile Alikua Akitamka Nayo Muhammad Mtume Wa Allah..
    Na Bayana Ya Al'Mam Al'Mahdi Kuhusu Harufu Ya (Ba)..


    Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Babu Yangu Muhammad Mtume Wa Allah - Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam - Na Waislamu Wote..


    Na Enye Ma3ashara Ya Waislamu Na Umma Wao Kumbukeni Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَلا تَقْفُ مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ إِنَّ السَّمْعَ وَالْبَصَرَ وَالْفُؤَادَ كُلُّ أُولَئِكَ كَانَ عَنْهُ مَسْئُولاً} صدق الله العظيم [الإسراء:36].
    Allah Ta3a Asema: {Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Isra:36].


    Na Kwa Akili Na Mantik Akitmuliza Allah Mitume Kwa Kaumu Yao Basi Yeye Hakika Anawateremshia Kwao Kitabu Kwa Lugha yao yenyewe ili wafahamu anayo yasema Mtume Wa Mola Mlezi wao, Na hivo kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَمَا أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلاَّ بِلِسَانِ قَوْمِهِ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ فَيُضِلُّ اللّهُ مَن يَشَاء وَيَهْدِي مَن يَشَاء وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ} صدق الله العظيم [إبراهيم:4].
    Allah Ta3ala Asema: {Na hatukumtuma Mtume ila kwa ulimi wa kaumu yake ili apate kuwabainishia. Basi Mwenyezi Mungu humuacha akapotea anae taka, na akamwongoa anae taka. Naye ni Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima }


    Eee na hakika lugha ya warabu Anajua Allah Kwamba ni lugha ya kiarabu.
    Na kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
    {إنًا جَعَلْنَاهُ قُرْآناً عَرَبِياً لَعَلَّكُمْ تَعْقِلُونْ} صدق الله العظيم [الزخرف:3].
    Allah Ta3ala Asema: {Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzukhruf].


    Na Suali lajitokeza lenyewe: Na je ilikua lugha ya kiarabu bila vitone na haikuwekwa vitone ispokua katika ahdi ya Othman Ju yake Sala Na Salam kwajili ya hivo imetimu kuwekwa vitone Al'Quran? Lakini hi haikubali akili wala mantik, Ikiwa herufu ya lugha ya kiarabu tayari ina vitone Basi vipi Atamwamirisha Allah Mtume Wake itimu kuandikwa Al'Quran Bila vitone alafu akhalifu Othman Amri ya Allah na Mtume Wake aweke vitone kwa Al'Quran? Na kiasi gani ujinga wenu enyi ma3ashara ya wanazuoni wa umma: Pekeyake nakusudia wale wanasadikisha uzushi wa mashetani kwamba Al'Quran haikuwekwa vitone ila katik wakati wa Othman au Alhajaj, Awauweni Allah mnayo yazua! Bali uzushi huo ni kutoka kwa mashetani mpaka waseme poti miongoni mwenu:" Kwahivo madamu Al'Quran haikutimu kuwekwa vitone ila katika zama za Othman kwahivo tutafanya kuiandika bila vitone ili tuifanye kama vile ilivo shuka kutoka kwa Allah bila vitone". Na lakini hakika mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani
    Nashuhudia Kwa Allah Shahada Ya Haki Ya Yakini Kwamba Imetimu Kuwekwa Vitone Na Kupangwa Shakli Ya Al'Quran Wakati Wa Kuteremshwa Kama Vile Alikua Akitamka Nayo Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Alafu ikatimu kuandikwa kulingana na lafdhi ya ulimi wake ju yake sala na salam kwa usmamizi wa Jibril ju yake sala na salam. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَإِنَّهُ لَتَنزِيلُ رَ‌بِّ الْعَالَمِينََ ﴿١٩٢﴾ نَزَلَ بِهِ الرُّ‌وحُ الْأَمِينُ ﴿١٩٣﴾ عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ الْمُنذِرِ‌ينَ ﴿١٩٤﴾ بِلِسَانٍ عَرَ‌بِيٍّ مُّبِينٍ ﴿١٩٥﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].
    Allah Ta3ala Asema: {Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote (192) Ameuteremsha Roho muaminifu (193) Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji (194) Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi} Sadaqa Allah Al3adhim [Alshuara].


    Na Alasema Allah Ta3ala:
    وَكَذَلِكَ أَنْزَلْناهُ حُكْمًا عَربِيًّا} صدق الله العظيم [الرعد:37].
    Allah Ta3ala Asema: {Na ndio kama hivi tumeiteremsha Qur'ani kuwa ni hukumu kwa lugha ya Kiarabu. Na ukifuata matamanio yao baada ya kukujia ilimu hii, hutakuwa na rafiki wala mlinzi mbele ya Mwenyezi Mungu} Sadaqa AllahAl3adhim [Alraad:37].


    Na Akasema Allah Ta3ala:
    {وَلَقَدْ ضَرَ‌بْنَا لِلنَّاسِ فِي هَـٰذَا الْقُرْ‌آنِ مِن كُلِّ مَثَلٍ لَّعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُ‌ونَ ﴿٢٧﴾ قُرْ‌آنًا عَرَ‌بِيًّا غَيْرَ‌ ذِي عِوَجٍ لَّعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ ﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [الزمر].
    {Na bila ya shaka tumewapigia watu mifano ya kila namna katika hii Qur'ani ili wapate kukumbuka (27) Qur'ani ya Kiarabu isiyo na upogo, ili wamche Mungu (28)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzumur].


    Akasema Allah Ta3ala:
    {حم ﴿١﴾ تَنزِيلٌ مِّنَ الرَّ‌حْمَـٰنِ الرَّ‌حِيمِ ﴿٢﴾ كِتَابٌ فُصِّلَتْ آيَاتُهُ قُرْ‌آنًا عَرَ‌بِيًّا لِّقَوْمٍ يَعْلَمُونَ ﴿٣﴾} صدق الله العظيم [فصلت].
    {H'a Mim (1) Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu (2) Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua (13)} Sadaqa Allah Al3adhim [Fusilat].


    Akasema Allah Ta3ala:
    {وَكَذلِك أوْحيْنا إلَيْكَ قُرْآنا عَرَبِيًّا لِتُنْذِرَ أُمَّ القُرَى وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنْذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لارَيْبَ فِيهِ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ} صدق الله العظيم [الشورى:7].
    {Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni} Sadaqa Allah Al3adhim [Alshura:7].


    Akasema Allah Ta3ala:
    وَمِنْ قَبْلِهِ كِتابُ مُوسَى إمَامًا وَرَحْمَةً وَهَذا كِتابٌ مُصَدِّقٌ لِسانًا عَرَبِيًّا لِيُنْذِرَ الَّذينَ ظَلَمُوا وَبُشْرَى لِلْمُحْسِنِينَ} صدق الله العظيم [الأحقاف:12].
    {Na kabla yake kilikuwapo Kitabu cha Musa, kuwa chenye uwongozi na rehema. Na hichi ni Kitabu cha kusadikisha na kilicho kuja kwa lugha ya Kiarabu, ili kiwaonye walio dhulumu, na kiwe ni bishara kwa watendao mema} Sadaqa Allah Al3adhim [Alahqaf:12].


    Mcheni Allah, Na Tallahi La haisadikiki kwamba Al'Quran haikutimu kuiwekwa vitone katika ahdi ya Mtume wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam, Ispokua wanataka mashetani watu kwamba wafanye watu ju yenu hoja kwamba Al'Quran haiko tena kama ilivo teremka ju ya Muhammad na kwamba imezushwa kwa kuwekwa vitone na mpangilo ya shekli yake, Na hakika nyinyi na wao ni katika warongo; Bali nashuhudia kwa Allah kwamba imewekwa vitone na kupangwa shekli yake wakati wa kuteremka kwake hapana shaka wala utetanishi, Na dhambi kuu kiasi gani hu uzushi ulio baini.


    Na hivo hivo tunagalia jibu la fatwa ya moja katika wanazuoni wakati alipo ulizwa lini ilitimu kuwekwa vitone Al'Quran akajibu mwanachuoni ambae ni mjinga kwa yanao fwata:


    ________________________________
    Hakika ya Wanahistoria wanatafautiana: Kati yao mwenye kuona kwamba aliijam ilikua inajulikana kabla ya uwislamu lakini wameiwacha kusudi kwenye misahafu kwa maana ilotangulia, Na miongoni mwao wanaona kwamba vitone havikujulikana ila baadae kwa mkono wa abi alaswad aldauli, Sawa iwe huyu ama yule hakika ya iijam ya misahafu hakuweko kwa umash'huri ispokua katika ahdi ya Abdulmalik ibnu marwan pindi alipo ona kwamba uwislamo eneo lake limepanuka na ikachanganyika kiarabu na kiajami karibu kiajemi kiguse usalama wa lugha, Ikaanza kuvaana na kutatizika katika kusoma misahafu ikasisitiza watu mpaka iwe ngumu ju ya wingi mpaka waipate kutafautisha baina ya maherufu ya msahafu na maneno yake nayo sio imeajimiwa, Basi hapo akaona kwa jicho la mbali kwake kwamba ajitokeze kuokoa akmwamrisha Alhajaj kwamba asmamie jambo hili kubwa, Akwapa Alhajaj amri ya amir wa waumini wanaume wawili wayatatuwe matatizo haya nawo ni; Nassr bin Asem aleithi, Na Yahya bin Yaamar Aladwani, Na wote wako sawa wana uwezo kwa yale walio pewa kutekeleza vile wamekusanya katika ilimu na vitendo vima na unyenyekevu na ujuzi kwa mambo ya asili ya lugha na uso za kuisoma Al'Quran, Na wameshirikiana pia katika kua wanafunzi na kuchukua kutoka kwa abi alaswad aldwuili, Na Awarehemu Allah mashekhe hawa wawili hakika wamefaulu katika majaribio haya wakaifanya kuiajam


    i msahafu mtukufu kwa mara ya kwanza wakaweka vitone herufu zake zote ambazo zimefanana na wakajilazimu kwamba isizidi vitone kwa herufu yoyote zaidi ya vitone vitatu, Na ikaenea hayo kwa watu baadae ikawa athari yake adhimu katika kuondosha tatizo na kuvesha kwa msahafu Mtukufu; Na ikasemekana kwamba hakika wakwanza alio weka vitone katika msahafu ni Abu alaswad aldauli, Na kwamba ibnu sirin alikua ana msahafu imewekwa vitone ameiweka vitone Yahya bin yaamur, Na inawezekana kuwafikisha baina hizi kauli kwamba Abi alaswad yeye ndio wakwanza alie weka vitone katika msahafu lakini kwa sifa ya pekeyake alafu akamfwata ibnu sirin, Na kwamba Abdulmalik ndio wakwanza mwenye kuweka vitone kwenye msahafu lakini kwa sifa rasmi kwa wote ikajulikana ikainea baina ya watu kuiskuma vazi na tatizo kwa kuisoma Al'Quran.
    ____________________________________
    Imeisha


    Na enyi "ulil'albab" wenye akili, Ispokua nawaidhia kwa moja kwamba musmame kwajili ya Allah mara mbili na mara moja na alfu mufkirie na je inaingia akilini kwamba Amuru Allah Mtume Wake andike Al'Quran Bila vitone ju ya maherufu? Kwahivo vipi wataweza watafautishe baina ya neno hata lau haikupungua ispokua kitone? Na Akasems Allah Ta3ala:
    :{يَحْسَبُهُمُ الْجَاهِلُ أَغْنِيَاءَ مِنَ التَّعَفُّفِ}} صدق الله العظيم [البقرة:273].
    Allah Ta3ala Asema: {Asiye wajua hali zao huwadhania kuwa ni matajiri kwa sababu ya kujizuia kwao } Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:273].


    Na Tuje tulete taswira ya neno {أَغْنِيَاءَ}
    (Aghnia) Bila ya kitone ya nun huwenda ikawa ni aghnia au aghbia kwakua kitone kimoja pekeyake imebadilisha neno kufanya neno lingine basi vipi itatimu kuisoma kwake kwa wale wanataka kuisoma Al'Quran ili wajuwe yaliomo ndani yake Fawallahi Ambae hapana Mola ispokua Yeye haikubali hi akili wala mantik, Basi vipi Aseme Allah Ta3ala:
    {وَإِنَّهُ لَتَنزِيلُ رَ‌بِّ الْعَالَمِينَ ﴿١٩٢﴾ نَزَلَ بِهِ الرُّ‌وحُ الْأَمِينُ ﴿١٩٣﴾ عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ الْمُنذِرِ‌ينَ ﴿١٩٤﴾ بِلِسَانٍ عَرَ‌بِيٍّ مُّبِينٍ﴿١٩٥﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].
    {Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote (192) Ameuteremsha Roho muaminifu (193) Juu ya moyo wako, ili uwe katika Waonyaji (194) Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi} Sadaqa Allah Al3adhim [Alshuara].


    Basi vipi itakua ilio wazi nayo bila ya vitone! Hivi hamufkiri? Na nakariri suali: Basi vipi itakua ilio wazi lau imeteremshwa bila ya vitone? Na hakika nyinyi ni warongo enyi munao itakidi kwa hayo, Na Akasema Allah Ta3ala:
    {وَكَذَلِكَ أنْزلْناهُ قُرآنًا عَربِيًّا وَصَرَّفْنا فِيهِ مِنَ الْوَعِيدِ لَعَلَّهُمْ يَتَّقُونُ أَوْ يُحْدِثُ لَهُمْ ذِكْرًا} صدق الله العظيم [طه:113].
    Allah Ta3ala Asema: {Na namna hivi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu, na tumekariri humo maonyo ili wapate kuogopa na kujilinda na iwaletee makumbusho} Sadaqa Allah Al3adhim [Twaha:113].


    Bali tena munadai kwamba haikutimu kuikusanya katika ahdi Ya Muhammad Mtume Wa Allah- Sala Allahu Aleyhi wa Alihi Wa Salam- Kutoka Aya ya kwanza mpaka Aya ya mwisho imeteremshwa katika Al'Quran Al3adhim kama vile iko leo imewekwa vitone baina ya mikono yenu, Lakini wale hawafkiri Wamesema:" Basi madamu Al'Quran haikutimu kwekwa vitone katika ahdi ya Al'Nabi Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam kwahivo kuweka vitone ni bidaa". Alafu wafanye kuiandika Al'Quran bila ya vitone, Basi mcheni Allah na mukufuru kwa bidaa ambao kutoka kwa nafsi zenu kwakisomo aina saba, Bali ni Quran ya kiarabu ilio wazi ina kisomo kimoja pekeyake, Na kufuruni kwa akida kwamba Al'Quran haikuwa na vitone katika ahdi ya Al'Nabi bali Qurani ya kiarabu ilio wazi imewekwa vitone, Na lau ingekua haikuwekwa vitone basi vipi mutatafautisha baina ya herufu ya
    (ب) na (ت), Na baina herufu ya
    (ج) na (ح) na (خ), Na baina ya herufu ya
    (ز) na (ر), Na baina ya herufu ya
    (ع) na (غ)? Hivi hamufkiri?


    Bali nawaona munadai kwamba lafdhi ya herufu ya (با) inakua na herufu tatu basi nawapata munaiandika (باء) Na hakika nyinyi ni warongo, Lakini mimi napata neno la (باءَ) katika Al'Quran Al3adhim ni katika mrduf ya neno (نالَ) (Amepata). Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَمَن يُوَلِّهِمْ يومَئِذٍ دُبُرَهُ إِلاَّ مُتَحَرِّفاً لِّقِتَالٍ أَوْ مُتَحَيِّزاً إِلَى فِئَةٍ فَقَدْ بَاء بِغَضَبٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ}
    صدق الله العظيم
    [الأنفال:16]،
    Allah Ta3ala Asema: {Na atakaye wageuzia mgongo wake siku hiyo - isipo kuwa kwa mbinu za vita au kuungana na kikosi - basi amepata ghadhabu ya
    Mwenyezi Mungu. Na pahala pake ni Jahannamu, na huo ni mwisho muovu} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanfal:13],
    Basi angalieni Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala {بَاءَ} (amepata) na je inaingia akilini hivo hivo kwamba neno hili ni lafdhi ya herufu ya (با), Lakini nyinyi munasoma kauli ya Allah Ta3ala: {بَاء} (amepata), Ama lafdhi ya herufu ya (با) basi haipatikani ndani yake herufu ya hamza kwenye mstari.


    Na enyi kaumu Na Tallahi lau itafwata haki matamanio yenu kwahivo ingetimu kuharibu Bayana ya haki ya kitabu lau hata kama imefwata matamanio yenu kwa kuandika lafdhi ya herufu ya (با) pekeyake kwamba inaandikwa kama munavo dai (باء).
    Lakini Ntoa shahada kwa Allah kwamba inandikwa lafdhi yake (با) na (تا) bila ya hamza kwenye mstari kwakua mimi napata idadi ya ma herufu ya lugha ya kiarabu katika ma siri ya kitabu nazo ni herufu (29) hakuna shaka wala utetanishi, Na kwajili ya hivo mutapata idadi ya Sura zenye herufu ni Sura (29), Na hivo hivo idadi ya ma herufu za siri katika mwanzo wa Sura Ya Al'Quran ni (78), Na hivo hivi idadi ya herufu ya lafdhi ya maherufu ya kiarabu ni (78), Na ama ikiwa tunataka kujua boxi ya mahisabu basi tutaongeza idadi ya vitone ya maherufu ya lugha ya kiarabu ambazo inahisabika ni masufuri na nyinyi munajua kwamba idadi ya vitone ya maherufu ya lugha ya kiarabu ni vitone (22), Alafu tunaziongeza kwenye idadi ya lafdhi ya maherufu itakua natija ni (100) kwa idadi ya majina ya Allah Matukufu. Kwajili ya hivo tume'ichelewesha ufafanuzi kwenye Bayana ya hisabu katika ma siri ya kitabu mpaka nitoke na natija nismamishe ju yenu hoja katika idadi ya maherufu ya lafdhi kwa maherufu ya kiarabu.


    Na suali la kwanza kutoka kwa Al'Imam Al'Mahdi kwa wanazuoni wa lugha ya kiarabu ni: Hivi hamukupata kwamba {بَاءَ} Nayo ni katika mardufi ya نالَ Amepata au فازَ ameshinda? Na Akasema Allah Ta3ala:
    {أَفَمَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاءَ بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم [آل عمران:162].
    Allah Ta3ala Asema: {Je! Aliye yafuata ya kumridhisha Mwenyezi Mungi ni kama yule aliye pata ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, na makaazi yake yakawa Jahannamu? Napo ni mahala pabaya pa kurejea} Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran:162].


    Na Akasema Allah Ta3ala:
    {وَمَن يُوَلِّهِمْ يَوْمَئِذٍ دُبُرَهُ إِلاَّ مُتَحَرِّفاً لِّقِتَالٍ أَوْ مُتَحَيِّزاً إِلَى فِئَةٍ فَقَدْ بَاءَ بِغَضَبٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم [الأنفال:16]
    Allah Ta3ala Asema: {Na atakaye wageuzia mgongo wake siku hiyo - isipo kuwa kwa mbinu za vita au kuungana na kikosi - basi amepata ghadhabu ya
    Mwenyezi Mungu. Na pahala pake ni Jahannamu, na huo ni mwisho muovu} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanfal:13],
    Basi munapata kua inatamkwa kwa hamza kwenye mstari {بَاءَ} ama lafdhi ya (ب) basi inaandikwa با), Basi ju ya hayo Hakika Mimi Ni Al'Imam Al'Mahdi Nawaita wanazuoni wa lugha ya kiarabu kuzungumza katika nukta hi.


    Na labda huwenda moja katika wale ambao hawatafautishi baina ya mapunda na ngamia dume kutaka kusema:" Lakini ewe Nasser Muhammad Al'Yamani hakika sisi tunapata kwako makosa ya ki imlai na ki nahawi basi vipi wataka kujadili wanazuoni wa lugha?". Na alafu anarudisha jibu ju yake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani na nasema: Ikiwa nakosea katika nahu na imlaa lakini sikosei katika Bayana ya haki ya Al'Quran kwakua mimi napata kwamba idadi ya ma herufu ya lugha ya kiarabu katika Al'Quran Al3adhim nazo ni herufu shirini na tisa (29) hapana shaka wala utetanishi, Na kadhalika napata katika kitabu kwamba idadi ya ma herufu ya lafdhi ya ma herufu ya lugha ya kiarabu nazo ni herufu (78) Kuongeza ju vitone va ma herufu asili alafu tunapata boxi ya ma hisabu kwa idadi ya waja wote Na Mola Mlezi Anae Abudiwa boxi mia moja ina anza kwa n


    ambari Moja inafwata sufuri 99.


    Na Subhana Ametukuka Mola Mlezi wangu Wallahi sikua najua kwamba nyinyi mumepotea mpaka kwenye idadi ya ma herufu ya lugha ya kiarabu ispokua wakati Aliponijulisha Mola Mlezi wangu Bayana ya Nambari Moja katika Kitabu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {قُلْ هُوَ اللَّهُ أَحَد} صدق الله العظيم
    { Sema Yeye Ni Allah Moja} Sadaqa Allah Al3adhim.


    Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
    Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamami.
    وسلامٌ على المرسلين، والحمد ُلله ربّ العالمين..
    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    ____________

    اقتباس المشاركة 15773 من موضوع أشهدُ لله شهادة الحقّ اليقين أنّه تمّ تنقيط وتشكيلُ القرآن حين تنزيله كما كان يتلفظ به محمدٌ رسول الله..


    الإمام ناصر محمد اليماني

    19 - 06 - 1432 هـ
    22 - 05 - 2011 مـ
    02:05 صباحاً
    ـــــــــــــــــــــــ


    أشهدُ لله شهادة الحقّ اليقين أنّه تمّ تنقيط وتشكيلُ القرآن حين تنزيله كما كان يتلفّظ به محمدٌ رسول الله
    وبيان الإمام المهديّ حول حرف (با)


    بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على جدّي محمد رسول الله - صلّى الله عليه وآله وسلم - وجميع المسلمين..
    يا معشر علماء المسلمين وأمّتهم تذكّروا قول الله تعالى:
    {وَلَا تَقْفُ مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ ۚ إِنَّ السَّمْعَ وَالْبَصَرَ وَالْفُؤَادَ كُلُّ أُولَـٰئِكَ كَانَ عَنْهُ مَسْئُولًا ﴿٣٦} صدق الله العظيم [الإسراء].

    وبالعقل والمنطق إذا ابتعث الله الرسل إلى أقوامهم فإنّه ينزّل عليهم كتاباً بذات لغتهم حتى يفقهوا ما يقوله رسول ربّهم، وذلك تصديقاً لقول الله تعالى:
    {وَمَا أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا بِلِسَانِ قَوْمِهِ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ ۖ فَيُضِلُّ اللَّـهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ ۚ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ ﴿٤} صدق الله العظيم [إبراهيم].

    ألا وإنّ لغة العرب يعلمها الله أنّها لغةٌ عربيّةٌ، ولذلك قال الله تعالى: {إِنَّا جَعَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ ﴿٣} صدق الله العظيم [الزخرف].

    والسؤال الذي يطرح نفسه: فهل كانت اللغة العربيّة بغير نقاط ولم يتمّ تنقيطها إلا في عهد عثمان عليه الصلاة والسلام ولذلك تمّ تنقيط القرآن؟ ولكنّ هذا لا يقبله العقل والمنطق، فإذا كانت أحرف اللغة العربيّة مُنقّطة فكيف يأمر الله رسوله أن يتمّ كتابة القرآن بغير نقاط ومن ثم يخالف عثمان أمر الله ورسوله ويقوم بتنقيط القرآن؟ فما أغباكم يا معشر علماء الأمّة؛ فقط أقصد الذين يصدّقون افتراء الشياطين أنّ القرآن لم يتمّ تنقيطه إلا في عصر عثمان أو الحَجّاج، قاتلكم الله أنّى تؤفكون! بل ذلك الافتراء من الشياطين حتى تقول طائفةٌ منكم: "إذاً ما دام القرآن لم يتمّ تنقطيه إلا في عصر عثمان إذاً فسوف نقوم بكتابته من غير تنقيط حتى نجعله كما أُنزل من عند الله من غير تنقيط". ولكنّي الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني أشهدُ لله شهادة الحقّ اليقين أنّه تمّ تنقيط وتشكيلُ القرآن حين تنزيله كما كان يتلفّظ به محمدٌ رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلم، ثم تتمّ كتابته حسب لفظِ لسانه عليه الصلاة والسلام بإشراف جبريل عليه الصلاة والسلام، تصديقاً لقول الله تعالى:
    {وَإِنَّهُ لَتَنزِيلُ رَ‌بِّ الْعَالَمِينََ ﴿١٩٢﴾ نَزَلَ بِهِ الرُّ‌وحُ الْأَمِينُ ﴿١٩٣﴾ عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ الْمُنذِرِ‌ينَ ﴿١٩٤﴾ بِلِسَانٍ عَرَ‌بِيٍّ مُّبِينٍ ﴿١٩٥﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].

    وقال الله تعالى:
    {وَكَذَٰلِكَ أَنزَلْنَاهُ حُكْمًا عَرَبِيًّا} صدق الله العظيم [الرعد:37].

    وقال الله تعالى:
    {وَلَقَدْ ضَرَ‌بْنَا لِلنَّاسِ فِي هَـٰذَا الْقُرْ‌آنِ مِن كُلِّ مَثَلٍ لَّعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُ‌ونَ ﴿٢٧﴾ قُرْ‌آنًا عَرَ‌بِيًّا غَيْرَ‌ ذِي عِوَجٍ لَّعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ ﴿٢٨﴾} صدق الله العظيم [الزمر].

    وقال الله تعالى:
    {حم ﴿١﴾ تَنزِيلٌ مِّنَ الرَّ‌حْمَـٰنِ الرَّ‌حِيمِ ﴿٢﴾ كِتَابٌ فُصِّلَتْ آيَاتُهُ قُرْ‌آنًا عَرَ‌بِيًّا لِّقَوْمٍ يَعْلَمُونَ ﴿٣﴾} صدق الله العظيم [فصلت].

    وقال الله تعالى:
    {وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ ﴿٧} صدق الله العظيم [الشورى].

    وقال الله تعالى:
    {وَمِن قَبْلِهِ كِتَابُ مُوسَىٰ إِمَامًا وَرَحْمَةً ۚ وَهَـٰذَا كِتَابٌ مُّصَدِّقٌ لِّسَانًا عَرَبِيًّا لِّيُنذِرَ الَّذِينَ ظَلَمُوا وَبُشْرَىٰ لِلْمُحْسِنِينَ ﴿١٢} صدق الله العظيم [الأحقاف].

    فاتّقوا الله، وتالله لا يُصدَّق أنّ القرآن لم يتمّ تنقيطه في عهد رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلم، وإنّما يريد شياطين البشر أن يجعلوا عليكم للنّاس الحجّة أنّ القرآن لم يعد كما أُنزل على محمدٍ وأنّه تمّ تحريفه بالتنقيط والشّكْلِ وإنّكم وهم لكاذبون؛ بل أشهدُ لله أنّه تمّ تنقيطه وتشكيله حين تنزيله لا شكّ ولا ريب، فما أعظم إثم هذا الافتراء المبين؟

    وكذلك ننظر لردّ فتوى أحد علماء المسلمين حين سُئِل متى تمّ تنقيط القرآن فأجاب العالِم الغبي بما يلي:
    اقتباس المشاركة :
    إن المؤرخين يختلفون: فمنهم من يرى أن الإعجام كان معروفا قبل الإسلام ولكن تركوه عمداً في المصاحف للمعنى السابق، ومنهم من يرى أن النقط لم يعرف إلا من بعد؛ على يد أبي الأسود الدؤلي، وسواء أكان هذا أم ذاك فإن إعجام المصاحف لم يحدث على المشهور إلا في عهد عبد الملك بن مروان إذ رأى أن رقعة الإسلام قد اتسعت واختلط العرب بالعجم وكادت العجمة تمس سلامة اللغة، وبدأ اللبس والإشكال في قراءة المصاحف يلح بالناس حتى ليشق على السواد منهم أن يهتدوا إلى التمييز بين حروف المصحف وكلماته وهي غير معجمة. هنالك رأى بثاقب نظره أن يتقدم للإنقاذ فأمر الحجاج أن يعنى بهذا الأمر الجلل، وندب الحجاج طاعة لأمير المؤمنين رجلين يعالجان هذا المشكل هما: نصر بن عاصم الليثي، ويحيى بن يعمر العدواني، وكلاهما كفء قدير على ما ندب له إذ جمعا بين العلم والعمل والصلاح والورع والخبرة بأصول اللغة ووجوه قراءة القرآن، وقد اشتركا أيضا في التلمذة والأخذ عن أبي الأسود الدؤلي، ويرحم الله هذين الشيخين فقد نجحا في هذه المحاولة وأعجما المصحف الشريف لأوّل مرة ونقطا جميع حروفه المتشابهة والتزما ألا تزيد النقط في أي حرف على ثلاث. وشاع ذلك في الناس بعد فكان له أثره العظيم في إزالة الإشكال واللبس عن المصحف الشريف، وقيل: إن أوّل من نقط المصحف أبو الأسود الدؤلي، وإن ابن سيرين كان له مصحف منقوط نقطه يحيى بن يعمر، ويمكن التوفيق بين هذه الأقوال بأن أبا الأسود أوّل من نقط المصحف ولكن بصفة فردية ثم تبعه ابن سيرين، وأن عبد الملك أوّل من نقط المصحف ولكن بصفة رسمية عامة ذاعت وشاعت بين الناس دفعاً للبس والإشكال عنهم في قراءة القرآن.
    انتهى الاقتباس
    انتهى

    ويا أولي الألباب، إنّما أعظكم بواحدة أن تقوموا لله مثاني وفرادى ومن ثم تتفكّروا فهل من المعقول أن يأمر الله رسوله أن يُكتب القرآن من غير نقاط على الأحرف؟ إذاً فكيف يستطيعون أن يفرّقوا بين الكلمة ولو لم تنقصها غير نقطة؟ وقال الله تعالى:
    {يَحْسَبُهُمُ الْجَاهِلُ أَغْنِيَاءَ مِنَ التَّعَفُّفِ} صدق الله العظيم [البقرة:273]، وتعالوا لنتصوّر كلمة {أَغْنِيَاءَ} من غير نقطة النون فقد تكون أغنياء أو أغبياء كون نقطة واحدة فقط حوّلت الكلمة إلى كلمة أخرى فكيف تتمّ قراءتها للذين يريدون أن يتلُون القرآن ليعلموا ما فيه، فوالله الذي لا إله غيره لا يقبل هذا العقلُ والمنطقُ! فكيف يقول الله تعالى: {وَإِنَّهُ لَتَنزِيلُ رَ‌بِّ الْعَالَمِينَ ﴿١٩٢﴾ نَزَلَ بِهِ الرُّ‌وحُ الْأَمِينُ ﴿١٩٣﴾ عَلَىٰ قَلْبِكَ لِتَكُونَ مِنَ الْمُنذِرِ‌ينَ ﴿١٩٤﴾ بِلِسَانٍ عَرَ‌بِيٍّ مُّبِينٍ ﴿١٩٥﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].

    فكيف يكون مُبيناً وهو بغير نقاط! أفلا تعقلون؟ وأكرّر السؤال: فكيف يكون مُبيناً لو تنزّل بغير نقاطٍ؟ وإنّكم لكاذبون يا من تعتقدون بذلك، وقال الله تعالى:
    {وَكَذَٰلِكَ أَنزَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا وَصَرَّفْنَا فِيهِ مِنَ الْوَعِيدِ لَعَلَّهُمْ يَتَّقُونَ أَوْ يُحْدِثُ لَهُمْ ذِكْرًا﴿١١٣} صدق الله العظيم [طه].

    بل وتزعمون أنّه لم يتمّ جمعه في عهد محمد رسول الله - صلّى الله عليه وآله وسلم - وإنّكم لكاذبون؛ بل تمّت كتابته في رقٍّ لدى الرسول - صلّى الله عليه وآله وسلم - من أوّل آية إلى آخر آية أُنزلت في القرآن العظيم كما هو اليوم القرآن المنقّط بين أيديكم، ولكنّ الذين لا يعقلون قالوا: "فما دام القرآن لم يتمّ تنقيطه في عهد النبيّ صلّى الله عليه وآله وسلم إذاً تنقيطه بدعة"! ومن ثم يقومون بكتابة قرآن من غير نقاط. فاتّقوا الله واكفروا بالبدعة من عند أنفسكم بالقراءات السبع، بل هو قرآن عربيٌّ مبينٌ له قراءةٌ واحدةٌ، واكفروا بعقيدة أنّ القرآن لم يكن مُنقّطاً في عهد النبيّ بل قرآنٌ عربيٌّ مبينٌ منقطٌ، ولو لم يكن منقّطاً فكيف تفرّقون بين حرف(ب) و (ت)، وبين حرف (ج) و(ح) و (خ)، وبين حرف (ز) و (ر)، وبين حرف (ع) و (غ)؟ أفلا تعقلون؟

    بل أراكم تزعمون أنَّ لفظ حرف (با) يتكوّن من ثلاثة أحرفٍ، فأجدكم تكتبونه (باء) وإنّكم لكاذبون، ولكنّي أجد كلمة (باءَ) في القرآن العظيم هي من مرادفات (نالَ)، تصديقاً لقول الله تعالى:
    {وَمَن يُوَلِّهِمْ يَوْمَئِذٍ دُبُرَهُ إِلَّا مُتَحَرِّفًا لِّقِتَالٍ أَوْ مُتَحَيِّزًا إِلَىٰ فِئَةٍ فَقَدْ بَاءَ بِغَضَبٍ مِّنَ اللَّـهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ ۖ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ ﴿١٦} صدق الله العظيم [الأنفال]، فانظروا لقول الله تعالى {بَاءَ} فهل يُعقل أن يكون كذلك أنّ هذه الكلمة هي لفظ حرف (با)، ولكنّكم تقرَأون قول الله تعالى: {بَاء}، أما لفظ الحرف (با) فلا يوجد فيه همزة على السطر.

    ويا قوم.. وتالله لو يتّبع الحقّ أهواءكم إذاً لتمّ التعطيل للبيان الحقّ للكتاب لو حتى فقط اتّبع أهواءكم بكتابة لفظ الحرف (با) أنّه يكتب كما تزعمون (باء).
    ولكنّي أشهدُ لله أنّه يكتب لفظه (با) و (تا) من غير همزةٍ على السطر لكوني أجدُ عدد أحرف اللغة العربيّة في أسرار الكتاب هي (29) حرفاً لا شكّ ولا ريب، ولذلك تجدون أنّ عدد السور ذات الأحرف هي (29) سورة، وكذلك عدد الأحرف السريّة في أوائل سور القرآن هي (78)، وكذلك عدد أحرف لفظ الأحرف العربيّة هي (78)، وأمّا إذا أردنا أن نعلم خانة الحساب فنضيف عدد نقاط الحروف العربيّة التي تعتبر أصفاراً وأنتم تعلمون أنّ عدد النقاط للأحرف العربيّة هي (22) نقطة، ومن ثم نضيفها إلى عدد لفظ الأحرف فيكون الناتج (100) بعدد أسماء الله الحسنى، ولذلك أخرّنا التفصيل في بيان الحساب من أسرار الكتاب حتى نخرج بنتيجة فأقيم عليكم الحجّة في عدد أحرف اللفظ للأحرف العربيّة.


    وأوّل سؤال من الإمام المهديّ إلى علماء اللغة العربيّة هو: ألم تجدوا أنّ
    {بَاءَ} هي من مرادفات نالَ أو فازَ؟ وقال الله تعالى: {أَفَمَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللَّـهِ كَمَن بَاءَ بِسَخَطٍ مِّنَ اللَّـهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ ۚ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ ﴿١٦٢﴾} صدق الله العظيم [آل عمران].

    وقال الله تعالى:
    {وَمَن يُوَلِّهِمْ يَوْمَئِذٍ دُبُرَهُ إِلَّا مُتَحَرِّفًا لِّقِتَالٍ أَوْ مُتَحَيِّزًا إِلَىٰ فِئَةٍ فَقَدْ بَاءَ بِغَضَبٍ مِّنَ اللَّـهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ ۖ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ ﴿١٦} صدق الله العظيم [الأنفال]، فتجدون أنّه ينطق بالهمزة على السطر {بَاءَ} أما لفظ الحرف (ب) فهو يكتب (با)، وعليه فإنّي الإمام المهدي أدعو علماء اللغة العربيّة للحوار في هذه النقطة.

    ولربّما يودّ أحد الذين لا يفرّقون بين الحمير والبعير أن يقول: "ولكن يا ناصر محمد اليماني إنّنا نجد لديك أخطاءً إملائيّة ونحويّة فكيف تريد أن تجادل علماء اللغة؟". ومن ثم يردّ عليه الإمام المهدي ناصر محمد اليماني وأقول: فإن كنتُ أخطئ في النّحو والإملاء ولكنّي لا أخطئ في البيان الحقّ للقرآن لكوني أجدُ أنّ عدد (أحرف) اللغة العربيّة في القرآن العظيم هي تسعة وعشرون (29) حرفاً لا شكّ ولا ريب، وكذلك أجد في الكتاب أنّ عدد (أحرف اللفظ) للأحرف العربيّة هي (78) حرفاً إضافة إلى نقاط الأحرف الأصلية ومن ثم نحصل على خانات الحساب لعدد العبيد والربّ المعبود مائة خانة تبدأ بالرقم واحد يليه 99 صفراً.

    وسبحان ربّي والله لم أكن أعلم أنّكم ضللتم حتى عن عدد أحرف اللغة العربيّة وعن عدد أحرف ألفاظ اللغة العربيّة إلا حين علّمني ربّي بيان الرقم واحد في الكتاب، تصديقاً لقول الله تعالى:
    {قُلْ هُوَ اللَّـهُ أَحَدٌ ﴿١} صدق الله العظيم [الإخلاص].

    وسلامٌ على المرسَلين، والحمد للهِ ربّ العالمين ..
    الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .
    _________________

    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..
    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

  2. افتراضي

    لا يمكن وصف أحدً من كل من علمنا عنه عالما بال( غبي ).

    إمّا يكون خائنا وقد حرَّف وغير , أو عامدا متعمدا , أو لربما من بلاغة القرآن أنه يحتمل الكلام غير المنقط
    ، وقد تصلح الرواية مع العلم أني أجهل تفاصيل حقيقتها ،
    بأنّ معجزة القرآن اربما بكلا الحالتين .
    فهذ رأيي ولو أني أحبذ رئياَ بأنه كان منذ الدبداية منقطا وكله يكمن تحت وعداً له ( وإنَّا له لحافظون ).
    أمَّا عن تغيِّر المعنى لو أزلنا نقاطها , ففهم الآية القرآنيَّة يتضمن بالدرجة الأولى لقلب العبد المتفكِّر , فمن يعلم كتاب التصوير الفني في القران -- سيد قطب أو روح المعاني , يعلم أنَّ بواطن الآيات قد يتفق وقد يخالف ظواهرها , فليراقب أحدنا لتفسير الكلمة باطنا وظاهر وسيعلم علم اليقين أن الحروف بنقاط محذوفة تظهر باطن الآية إذ تجعل القارئ يبحث ويقلب في رأسه أو في معاجم اللغة العربية إمكانيِّة تواجد أكثر من معنى لكلمة ما ولكن لايمكن للكلمة ( طبعا وفق منظور " الله يوحي للإنسان أمورا من لدنه ") ان تحتمل معنىً لا يليق بها.
    #مجردة_توصيف لنظرتي الخاصة لأمر النقط وأعوذ باللَه أن أكون من الجاهلين

المواضيع المتشابهه
  1. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 17-08-2020, 05:37 PM
  2. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 06-03-2018, 08:31 PM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 15-02-2018, 05:11 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 05-02-2018, 06:36 PM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 04-02-2018, 01:14 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •